Vipi ampashi kiporo kweli?Single mother wana mapenzi ya dhati sijapata kuona! Ukimjali tu ukampenda na mtoto wake, anakuachia kila kitu. Kiufupi anageuka kuwa mtumwa kwako.
Kuna mmoja nlikuwa na mahusiano nae, aisee! Yule mdada alinifeel sana, shida ikawa anapenda sana tuoane,
Kiukweli ningemuoa ila umri alikuwa amenizidi miaka 2,
Siku moja akaniambia nakuomba sana usioe kabla mm sijaolewa coz nitaumia sana nikaona unaoa huku mm nashuhudia. Kweli haikipita muda akapata jamaa wameoana. Nami nmeshaoa, lkn lile penzi la yule mdada hatari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah riki ni fala!Wewe unataka uleee bao la mwenzioo???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akati single wapo kibaoo..!! Diamond ndo alivunja rekodi ya kutaka kulea mabao manne sijui yakamshindaaHahahahah riki ni fala!
Hio ndio shida kawa wahuni, maana mapenzi ya single mother hua mara nyingi yameshikiliwa na mtoto wake, ukishampenda mwanae basi unakua umemaliza kila kitu.Wahuni wanataka mchebwedee hawataki kuwa wazazi wa kijana!
Khantwe hujambo? Mbona umeguswa sana? Au na wewe ni "Mama Mmoja" aka "Single Mother"?
Hahah angelea sema nyie mlizidi kidomo domo aisee! Akaona jau![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akati single wapo kibaoo..!! Diamond ndo alivunja rekodi ya kutaka kulea mabao manne sijui yakamshindaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki kiji Technique safi sana, nitakijaribu nione kama kweli ndicho!Hio ndio shida kawa wahuni, maana mapenzi ya single mother hua mara nyingi yameshikiliwa na mtoto wake, ukishampenda mwanae basi unakua umemaliza kila kitu.
Hata vijizawadi usimletee yeye we mletee tu mwanae na mabusu we mpige tu mwanae huko uvunguni mama mtu anaanza kuloana.
Maendeleo hayana chama
Kwa kua maendeleo hayana chama basi mi naamini kabisa hakitakuangusha.Hiki kiji Technique safi sana, nitakijaribu nione kama kweli ndicho!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe unaelalamika
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Hapana mkuu, hatujapata muda wa kuzoeana alafu pia jamaa yake namuheshimu sanaVipi ampashi kiporo kweli?
Sawa sawa, muhimu kuheshimiana tu inaonesha ukomavu.Hapana mkuu, hatujapata muda wa kuzoeana alafu pia jamaa yake namuheshimu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Anayeamua kupata mimba Ni mwanaume/ mwanamke???Msiwalaumu tu hao single mother,lawama zingine muwape na hio minjemba miharifu iliyowaachia watoto
Subiri mapovukatika wanawake ambao hawana shida kusex nao ni single madha. ila kumuoa ndio tatizo
Labda Kama waliwabakaWanaume wa kundi hilo japo sio wote wanatakiwa kufungwa mawe na kutupwa baharini
HahaaaSiwasemi vibaya single maza ila shida yao kubwa ni pale anapolazimisha kukueleza story za mtoto wake na jamaa yake sometime uwa inakera mbaya zaidi anajikanyaga leo anasema hivi kesho vile.