Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Single mother wana mapenzi ya dhati sijapata kuona! Ukimjali tu ukampenda na mtoto wake, anakuachia kila kitu. Kiufupi anageuka kuwa mtumwa kwako.

Kuna mmoja nlikuwa na mahusiano nae, aisee! Yule mdada alinifeel sana, shida ikawa anapenda sana tuoane,

Kiukweli ningemuoa ila umri alikuwa amenizidi miaka 2,

Siku moja akaniambia nakuomba sana usioe kabla mm sijaolewa coz nitaumia sana nikaona unaoa huku mm nashuhudia. Kweli haikipita muda akapata jamaa wameoana. Nami nmeshaoa, lkn lile penzi la yule mdada hatari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi ampashi kiporo kweli?
 
Wahuni wanataka mchebwedee hawataki kuwa wazazi wa kijana!
Hio ndio shida kawa wahuni, maana mapenzi ya single mother hua mara nyingi yameshikiliwa na mtoto wake, ukishampenda mwanae basi unakua umemaliza kila kitu.
Hata vijizawadi usimletee yeye we mletee tu mwanae na mabusu we mpige tu mwanae huko uvunguni mama mtu anaanza kuloana.

Maendeleo hayana chama
 
Kiutu uzima matatizo ya single mother mengi tunayasababisha wenyewe na mkumbuke ukimwacha mwanamke na mtoto yeye yuko radhi hata ajiuze alee mtoto au watoto, mama hufa na wanae lakini baba hufa peke yake na tungekua wanaume tunauelewa wa malezi kwa wanawake tulioachana nao kamwe shida haipo
 
Hio ndio shida kawa wahuni, maana mapenzi ya single mother hua mara nyingi yameshikiliwa na mtoto wake, ukishampenda mwanae basi unakua umemaliza kila kitu.
Hata vijizawadi usimletee yeye we mletee tu mwanae na mabusu we mpige tu mwanae huko uvunguni mama mtu anaanza kuloana.

Maendeleo hayana chama
Hiki kiji Technique safi sana, nitakijaribu nione kama kweli ndicho!
 
Wanaume tusikubali kuwadhalilisha wanawake ambao ni mama za watu wengine na wengi mnaoandika hayo hampo kwenye ndoa hivo tuwaheshimu sana
 
Wewe unaelalamika
0e702fdff6e6bbfee80b717ac6cd12f6.jpg


Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom