Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
Mkuu messenger ina message 50??? NomaaaWewe unaelalamika
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Kumbuka unakuwa umeoa mke wa mtu hapooKwa uzoefu wangu mwanamke wa kuoa au wa kuwa naye mahusiano ni 'Single Mother' ukionesha tu kumjali na mwanaye baaasi anakupa penzi lote. Anajua uchungu wa mpenzi na umuhimu wa mwanaume, hachezi kamwe. Tatizo LA wanaume ni kumpenda Mama na sio mtoto, hapo utajitesa bure, anza kumjali na kumthamini mtoto hata kama mama alikuwa hakupendi, atakupenda tuuuuu. , single mothers are golden ladies
Kupenda mtoto ambaye Ni bao la mwanaume mwingine ngumu Sana in short kuoa single mother Ni kipaji Kama messiAs long as hakukuficha ulipomtongoza basi ww ndo mwenye makosa maana kama hauna moyo wakumchukulia yule mtoto kama wako usitegemee mamake kukupa nafasi kwake kwa mwanamke mtoto anatangulia afu baba ndo anafuata hata kama ni baba mzazi wa mtoto wake,so kama ukitaka upata nafasi anza kupenda mtoto kwanza pengine kuliko hata yeye huwezi hivyo basi muepuke tu mwanamke wa hivyo maana waliozitoa hizo mimba wapo wengi pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahah.
Tatizo utakuta Hilo Toto baba aka alikuwa jambazi au shoga linakuletea matatizo tuuuUkiwa unapenda watoto naturally hauwezi kuona kero ya single mother kwa sababu kupewa story za mtoto sio kero kwa mtu anayependa watoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi ukazuia hiyo,ndo shida ipo hapoSipendi mawasiliano ya single mother na baba mtoto
Shida zote za nini hizo.mwanamke mmoja mnaoa wanaume wawiliHa ha Mkuu hapo ni kuweka sheria tu na kuwa na msimamo thabiti na kumwambia achague kunyoa au kusuka!!kuna jamaa yeye amepanga sheria kwa mkewe issue za mtoto wawasiliane wao wanaume kwani ni mtoto wake pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli mchungu,sijaona kosa la mtoa maadaJirani vitoto vingine vinakera sana, utadhani kafungwa kamba hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kawaida yao,piga p..mbuuuu amsha mwache akafie mbeleMimi kuna single maza nataka nianzishe nae mahusiano,naona ananipenda hatari.....
Ukipenda boga penda na ua lake hahaaaani kweli ila kumlea mwanae asiweke ndio condition ya kuwa naye mimi nimempenda yeye sio mwanaye kama namlea mwanaye ni msaada tu kwani wanagpi wanarudisha watto kwa bibi zao ili waishi kwenye ndoa mpya?
So kwasababu mtu mama ake Ni single mother so na yeye aoe single mother???? Umesoma Hadi darasa la ngapi?U guys are so selfish jamaniiii!!!mnasahau pia kuna Ma single dad, kila siku ni single mama tuuu.. Why? First hukulazimishwa kudate nae!second kuna uwezekano mkubwa ata mama ako alikua single mom so stop insulting, tena siku hizi hao pure girls ndo wanasumbua sana kwenye ndoa,kuliko hata hao single mom ambao wameshaionja joto ya jiwe....
Sent using Jamii Forums mobile app
Laki moja kubwa Sana, Mimi Kuna mwanamke nimemzalisha Nampa 90k kila mwezi,mtoto Ana matumizi madogo Sana ya chakula,nguo nimemshanunulia nyingi mnoLaki moja kwa mwezi mbona ndogo sana mkuu?
Au na yeye ana chanzo cha kipato?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watawasiliana tu anaweza akakuchuna hela akamlipia jamaa nauli ajr amuone mtotoMuhamishie marekani, hawatawasiliana kamwe!
Huoni kuwa hizo lawama, gubu na mengine inatokana na maumivu ambayo sisi wanaumeAisee kudate single mother inahitaji uwe na roho ya chuma kweli kweli.
Wamejaa lawama, gubu za kiwango cha juu, hawana Jema kabisa. Kila kitu mtoto wangu mtoto wangu. And always hawana shukrani. ☹️☹️☹️☹️
Nani mwenye uamuzi wa kupata mimba?Huoni kuwa hizo lawama, gubu na mengine inatokana na maumivu ambayo sisi wanaume
tumemfanyia kwa kuweka ahadi za uongo, kumpamba kinafiki, na mengineyo mengi na baada ya kukidhi haja zetu tunasepa.
Hapa nani wa kulaumiwa? Mtenda au Mtendwa?
Nani mwenye uamuzi wa kuathirika na ukimwi?
Acha kuhamisha goli kingese bhana,unakua Kama sio shoga??? Huo mfano wako Ni mfu na Wala haihusiani na maada,tusichoshana bwana Mimi bado sijalaNani mwenye uamuzi wa kuathirika na ukimwi?
Wewe siyo multidimensional thinker ingawa umekuwepo jamvini karibu miaka 4 sasa.Acha kuhamisha goli kingese bhana,unakua Kama sio shoga??? Huo mfano wako Ni mfu na Wala haihusiani na maada,tusichoshana bwana Mimi bado sijala
Sent using Jamii Forums mobile app