Imekuchoma eeehMada za kutafutia Kiki na umaarufu kunuka jf
Wanawake stuken,potezeen this trash
Unakuta kajitu kanaishi kwenye ka chumba ka stoo huko tandale akipata buku anakimbilia kuanzisha thread upupu jf ili awe maarufu
Hahahahah lmao
Na ukishajua itakusaidia nini??dogo.wewe ni connor au the list?
nikijua nitafarijika, maana the list alikuwa anatupa madini sanaNa ukishajua itakusaidia nini??dogo.
Smart guy
Oknikijua nitafarijika, maana the list alikuwa anatupa madini sana
Mbona inajulikana wazi SINGLE MOTHERS NI WALE WALIOPATA MIMBA KWA UZEMBE...alafu wakaachana...
Huyo aliyefiwa na mume ni WIDOW sio Single Mother....Mwanaume yeyote anaemsimanga mwanmke aliezaa na kulea mtoto peke yake ni wa kupimwa akili
Kama una akili zako timamu kweli anza kuwaongelea na waliowapachika mimba na kuzikataa,ongelea waliowabaka,na sio kila mwanamke anaelea mwanae mwenyewe ana tabia mbovu.kuna single mothers wengine wajane baba wa watoto wamefariki,wengine wamefungwa jela nk.
Ukumbuke bila ushiriki wa mwanaume mimba isingetunga.
We ni single bi mkubwa nini mkuu?
Huyo aliyetoa mimba ni Single mother MFIWA/MUUAJI.Kwako wewe bora yupi Kati ya hawa wawili anaye toa mimba ili asiwe Single mother na anaye baki na mimba hatimaye mtoto yupi kwako bora zaidi?
Kwanini mwanaume wasijizuie kupachika mimba wanawake ambao hawajawaoa.waje kupachika wakishaoa kwa wake zao?Kwa nini wasitulie Mimba wakapatie kwa waume zao
Yaani mwanaume ndio ajizuie nafikiri unatania, umeshaona wapi mtwishaji mzigo akawaza kuhusu mbebaji?Kwanini mwanaume wasijizuie kupachika mimba wanawake ambao hawajawaoa.waje kupachika wakishaoa kwa wake zao?
Yaani mwanaume ndio ajizuie nafikiri unatania, umeshaona wapi mtwishaji mzigo akawaza kuhusu mbebaji?
Wewe umeshaonana na Single Father mkuu?Majibu yako mi meaningless...
Himiza wanaume wasiooa watumie kinga kama hutaki kuwaona single mother.
Na sisi tutahimizana kujiepusha na mimba zisipangwa kupunguza idadi ya sm.
Mwanaume kukaa na kuanza kusemasema wanawake ni tabia za kisichana.acha!!
Huyo wa kwanza akiwa anatoa mimba chini ya wiki 6 me namsapoti kuwa bora!..Kwako wewe bora yupi Kati ya hawa wawili anaye toa mimba ili asiwe Single mother na anaye baki na mimba hatimaye mtoto yupi kwako bora zaidi?.
siku ya kwaaaaaaaanza kabisa ya kugegeda papuchi ulikutana na single mother ndo maana unadondokea uko kila uchao!Natumai hamjambo! Mwenzenu cjui nnatatizo gan? Kila binti mrembo nnaemtupia ndoana/ kudate nae nakuja kugundua ni single maza! Na huwa wananing'ang'ania haswaaa baada ya show ya kibabe,swala hili limekua likiniumiza sana kisaikolojia!.Wajuvi wa mambo naomba mnipe njia ya kuwanasa warembo virgin ili nami nifaidi kiduchu.Uzi tayar!
Hv usingo maza ni kule kuzaa bila kuolewa tu, au ht km hujaolewa na baba mtoto akawajibika Kwa malez bado unakua singo maza?We ni single bi mkubwa nini mkuu?
Wewe umeshaonana na Single Father mkuu?
Jukumu la kujilinda ni la kwenu nyinyi wanawake, wewe ukimkataa mwanaume atakulazimisha akutie kwa lazima?
Chini ya wiki sita anakuwa hajatoa mimba?Huyo wa kwanza akiwa anatoa mimba chini ya wiki 6 me namsapoti kuwa bora!..
Ingawa 80% nina mahusiano na single mothers!.