Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Unajifanya huwajui mwanaume wanaokataa mimba wewe .??
Marehemu?

Kupata mimba kwa uzembe kukoje?
Wakati mwanamke kashindwa kuzuia mimba ndo mnaita uzembe,na yule aliekua anamkojolea hajafikiria kuwa anapanda mbegu na kuna ywezekano wa kuota??kwanini mnabebesha lawama zote wanawake tu?
Mbona inajulikana wazi SINGLE MOTHERS NI WALE WALIOPATA MIMBA KWA UZEMBE...alafu wakaachana...
 
Mwanaume yeyote anaemsimanga mwanmke aliezaa na kulea mtoto peke yake ni wa kupimwa akili

Kama una akili zako timamu kweli anza kuwaongelea na waliowapachika mimba na kuzikataa,ongelea waliowabaka,na sio kila mwanamke anaelea mwanae mwenyewe ana tabia mbovu.kuna single mothers wengine wajane baba wa watoto wamefariki,wengine wamefungwa jela nk.

Ukumbuke bila ushiriki wa mwanaume mimba isingetunga.
Huyo aliyefiwa na mume ni WIDOW sio Single Mother....
 
Wao Watakuja Kujitetea Kwa Nguvu Zote Eti Ooh Kuna Waliobakwa Sijui, Waliofiwa.
Single Maza Wengi Ni Wamekubuhu Kwenye Fani.
Me Nataka Nimchukue Tuanze Marathon. Yeye Kumbe Hadi Alishamalizaga Zamaniii Anaanza Upya!
Nani Anataka? Unachapa Then Unapita Hivi
 
Majibu yako mi meaningless...


Himiza wanaume wasiooa watumie kinga kama hutaki kuwaona single mother.
Na sisi tutahimizana kujiepusha na mimba zisipangwa kupunguza idadi ya sm.

Mwanaume kukaa na kuanza kusemasema wanawake ni tabia za kisichana.acha!!


Yaani mwanaume ndio ajizuie nafikiri unatania, umeshaona wapi mtwishaji mzigo akawaza kuhusu mbebaji?
 
Majibu yako mi meaningless...


Himiza wanaume wasiooa watumie kinga kama hutaki kuwaona single mother.
Na sisi tutahimizana kujiepusha na mimba zisipangwa kupunguza idadi ya sm.

Mwanaume kukaa na kuanza kusemasema wanawake ni tabia za kisichana.acha!!
Wewe umeshaonana na Single Father mkuu?

Jukumu la kujilinda ni la kwenu nyinyi wanawake, wewe ukimkataa mwanaume atakulazimisha akutie kwa lazima?
 
Natumai hamjambo! Mwenzenu cjui nnatatizo gan? Kila binti mrembo nnaemtupia ndoana/ kudate nae nakuja kugundua ni single maza! Na huwa wananing'ang'ania haswaaa baada ya show ya kibabe,swala hili limekua likiniumiza sana kisaikolojia!.Wajuvi wa mambo naomba mnipe njia ya kuwanasa warembo virgin ili nami nifaidi kiduchu.Uzi tayar!
siku ya kwaaaaaaaanza kabisa ya kugegeda papuchi ulikutana na single mother ndo maana unadondokea uko kila uchao!

Kama nadanganya nipinge.

But that is a myth!
 
Hivi mbona wanaume wengi mnapenda kutumia hiyo sentensi kama utetezi? Na wewe kwanini umtongoze mwanamke? Si muwe mnawaacha msiwatongoze? Yaani mnawatongoza huko wakati mnajua kuwa mkishawapitia mtawadharau.
Wewe umeshaonana na Single Father mkuu?

Jukumu la kujilinda ni la kwenu nyinyi wanawake, wewe ukimkataa mwanaume atakulazimisha akutie kwa lazima?
 
Back
Top Bottom