Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Mwanaume yeyote anaemsimanga mwanmke aliezaa na kulea mtoto peke yake ni wa kupimwa akili
Kama una akili zako timamu kweli anza kuwaongelea na waliowapachika mimba na kuzikataa,ongelea waliowabaka,na sio kila mwanamke anaelea mwanae mwenyewe ana tabia mbovu.kuna single mothers wengine wajane baba wa watoto wamefariki,wengine wamefungwa jela nk.

Ukumbuke bila ushiriki wa mwanaume mimba isingetunga.
Big point .. Halafu mtu km huyo unakuta amelelewa na mama peke yake au ana ndugu zake wengi tu mi ma single mothers tena ma baba tofauti tofauti leo anakuja kuwapondea watoto wa wenzie....
 
Utam
Utamjuaje huyu ni single mother kwa kubakwa? ? Kufiwa? ??Au mume yupo jela???
Wa mume yuko jera ana huzuni huzuni, na yule wa kubakwa unakuta hayuko sawa mentally wa kufiwa unakuta ana upweke upweke muda wote ila wa kujitakia ni full kubadilisha madera, kupenda sana kwenda kwenye shughuli na vigoma.
 
kwa lugha fupi na nyepesi,
HAKITAMBULIKI KAMA BINADAMU!
Ndo mnavyojidanganya hivyo? Kwa taarifa yako kutokana na tafiti uchwara za kisayansi uhai wa binadamu unaanza kutambulika mara tu baada ya mbegu ya baba kuingia kwenye yai la mama hivyo hata mwanamke atoe mimba ya siku moja atakuwa hana tofauti na yule aliyetoa mimba hata ya miezi tisa
 
Hii mada inanizidi umri binafsi sipendi izi kauli maana hao single maza ni dada zetu ,wapenzi,wetu rafiki zetu lakini kila mtu na namuna anavyo waza ila binafsi hii lugha naichukia na sio nzuri.
Ukifika SA kuwa single mom ni fashion. Huku madada hawataki baba mtoto , wao wanataka mimba tu.
 
Ndo mnavyojidanganya hivyo? Kwa taarifa yako kutokana na tafiti uchwara za kisayansi uhai wa binadamu unaanza kutambulika mara tu baada ya mbegu ya baba kuingia kwenye yai la mama hivyo hata mwanamke atoe mimba ya siku moja atakuwa hana tofauti na yule aliyetoa mimba hata ya miezi tisa
Habari yako mwanaharakati wa kujitegemea.
 
Single mother's mtakuja kubisha hapa ila ukweli ndio huo Kuoa Single Mother ni kama kurisk kwa kwenda kununua Kiwanja unachojua wazi kabisa kina mgogoro,

Uhalisia ni kama unacheza betting tu, sasa kwa nini uwende ukanunue kiwanja chenye mgogoro na wakati viwanja vya wazi vipo vingi,

Single mother's wamesharisk maisha Yao kwa kuwa tayari wana watu wao Walio wapa viwanja vyao wavitumie, kijana/mwanaume mwenzangu usipoteze Muda wako kwenda kutaka kujenga kwenye kiwanja hicho kwa sababu ipo siku yule aliyepewa kiwanja mwanzo atarudi na kukaa kwenye apartment yake,

Mademu mbona wapo wengi tu wanaohitaji kuolewa na sio Masingle bi mkubwa, na siku hizi Posa sio inshu tena unamwita tu Sogea tukae baada ya wiki kashakuwa mke,


Siku hizi wasichana wanazaa zaa tu bila kuwa na future, hawaogopi tena kuwa masingle Bi mkubwa kwa kuwa wanajua kuna wanaume watatokea na kuwaoa.

Hawa ni wa kuweka kambi ya muda tu ila ukitaka kuoa nenda kaoe demu ambae utaanza nae Race.



Cc Zero IQ
sizani kama wanapenda kuwa single ajali haina kinga fahamu.
Acha kuringa hata maraika wakikulinda kwa zamu.
 
Aliefiwa na mumewe, aliebakwa, automatically hawahusiki hapa. Lakini wale waliozaa nje ya ndoa kwa kiherehere chao tu, hii inawahusu. Na religiously mwanaume halazimishwi kumtunza mtoto wa aina hio bali anatakiwa atunzwe na mamaake.
contradicted amezaa nje ya ndoa how?[emoji41]
 
Back
Top Bottom