Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Niwasifie kwa kuwa single mother mkuu, yaani kwa kutoa papuchi zao bila taadhari ata Mungu mwenyewe atanishangaa.

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125]
Ila ukiwasifia wanaume wanawaowazalisha hao wanawake ndo Mungu hakushangai siyo? Hivi unadhani Mungu ni mnafiki kama wewe?
 
Kumbe katibu wa Cabinet,hukupewa hicho cheo bure bure tu
 
Kuoa mwanamke mwenye watoto ni hatari sana....hakawii kuja kukugeuka uzeeni yeye na wanawe...haswa katika swala la mali
Kweli kabisa mkuu haka katoto kake ka nje utakuta ndio huwa anakapenda kuliko ata wale utakaozaa nae wewe
 
Kuoa mwanamke mwenye watoto ni hatari sana....hakawii kuja kukugeuka uzeeni yeye na wanawe...haswa katika swala la mali
Upo sahihi mkuu,pale mbezi beach kuna mzee mwakajuzi alifariki baada ya mkewe kumwambia tugawane watoto na mali tulizochuma,mzee alioa wakati Ajuza ameshafungwa goli 2
 
Vitu vya kipumbavu kama vyepi? Mungu anachukia dhambi na hapendi wote wanaume na wanawake wazae kabla ya ndoa ila basi tu kwa sababu ya rehema zake za kila siku anatusamehe dhambi zetu na anatubariki hivyo hivyo na dhambi zetu na ndo maana unakuta hao masingle mothers wengi tu wanabarikiwa

Na unakuta watoto wao wanakuja kufanikiwa maishani pengine kuliko hata wanaozaliwa ndani ya ndoa ndo maana nakwambia wewe ni nani hadi uwahukumu? Na kama kweli unachukizwa na hilo jambo basi unatakiwa kuchukizwa na jinsia zote mbili ambazo ndo zinasababisha mtoto ila siyo jinsia moja ambayo haiwezi kusababisha mtoto yenyewe ifike pahala muache unafiki
Hivi unafikiri Mungu anatetea vitu vya kipumbavu kama hivyo mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…