We mwenyewe kuna mtoto ulizaa ukamtelekeza na Mama yake,na that thing itakutafuna consious yako hadi kiama, that's y una hasira sana na singo moms,inshort unahasira na uliyoyatenda enzi hizo na the memories are haunting daily poleA.k.a Mabaharia [emoji1787][emoji1787][emoji1787],,, ila sio siri wahuni sio watu kabisa, mtoto anakula mistari hadi analegea af baharia kumbe hana hata mpango, anam menyesha vitunguu tu binti wa watu na mimba juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli kabisa...yani unakuta umeolewa una mipango yako ye yote anaipinga.anaanza kukupangia.uishi na ufanye kile kinachompendeza kama mume.mwingine anakupiga marufuku hakuna kufanya chochote,we kaa nyumbani zaa na kulea basi..ukiongea unaonekana mwanamke mkorofi humtii mumeo ..Men are a destruction in women's success
Ukiwa single utajiamulia nini ufanye,lini wapi na kwa mostly manufaa ya mwanamke mwenyewe, in short una nafac kubwa ya kutimiza ndoto zako kama mwanamke
Ila ukiolewa ama ukawa somebody fiance's unaenda kutimiza ndoto za huyo mwanaume kwa sehemu kubwa.
Haha kuuza papa sio kupambana? Unajua wanaouza wanakutana na mangapi mkuuHaha kudanga ni upambanaji. That new.
Kuna walioolewa pia nao hawaletewi msoto km kawaida wa kujitafutia hd chakula,kodi ya nyumba na Nguo za watoto.Juhudi zao ndiyo serikali yao. Wakisubiria nani atawaletea?
Haha kuuza papa sio kupambana? Unajua wanaouza wanakutana na mangapi mkuu
Ya kweli hayo?Kuna walioolewa pia nao hawaletewi msoto km kawaida wa kujitafutia hd chakula,kodi ya nyumba na Nguo za watoto.
Unaishi dunia ipi? Wapo wengi Sana wanaishi maisha hayo akikaa nje na wanawake wenzake anaficha ili mradi aonekane yupo kwny ndoa. Hadi boxer wananunua.Ya kweli hayo?
Hapana wanawake walioolewa hawana hixo shida,mume anatimiza kila kitu ikiwemo chakula,Kodi,matibabu,elimu,mavazi na kumtreat mke kama malkia kama kuna mwanamke kaolewa halafu anapambana kufanya hayo peke yako huyo kajioa
😆😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sawa sawa mwenyekiti
Asante umemjibu vizuri Huyu mkuuMwanaume yeyote anaemsimanga mwanmke aliezaa na kulea mtoto peke yake ni wa kupimwa akili
Kama una akili zako timamu kweli anza kuwaongelea na waliowapachika mimba na kuzikataa,ongelea waliowabaka,na sio kila mwanamke anaelea mwanae mwenyewe ana tabia mbovu.kuna single mothers wengine wajane baba wa watoto wamefariki,wengine wamefungwa jela nk.
Ukumbuke bila ushiriki wa mwanaume mimba isingetunga.
Hata huo ulaghai si rahisi ujueHaha no offense. Huko ku laghai. Total manipulation ili pesa ipatikane. Yes kuna changamoto but damn hiyo sio kazi. Ni somethinf else
Siyo hivyo tuu mkuu ukitaka kufa mapema oa single mom,hawa viumbe ni wasumbufu hatari.Single mother's mtakuja kubisha hapa ila ukweli ndio huo Kuoa Single Mother ni kama kurisk kwa kwenda kununua Kiwanja unachojua wazi kabisa kina mgogoro,
Uhalisia ni kama unacheza betting tu, sasa kwa nini uwende ukanunue kiwanja chenye mgogoro na wakati viwanja vya wazi vipo vingi,
Single mother's wamesharisk maisha Yao kwa kuwa tayari wana watu wao Walio wapa viwanja vyao wavitumie, kijana/mwanaume mwenzangu usipoteze Muda wako kwenda kutaka kujenga kwenye kiwanja hicho kwa sababu ipo siku yule aliyepewa kiwanja mwanzo atarudi na kukaa kwenye apartment yake,
Mademu mbona wapo wengi tu wanaohitaji kuolewa na sio Masingle bi mkubwa, na siku hizi Posa sio inshu tena unamwita tu Sogea tukae baada ya wiki kashakuwa mke,
Siku hizi wasichana wanazaa zaa tu bila kuwa na future, hawaogopi tena kuwa masingle Bi mkubwa kwa kuwa wanajua kuna wanaume watatokea na kuwaoa.
Hawa ni wa kuweka kambi ya muda tu ila ukitaka kuoa nenda kaoe demu ambae utaanza nae Race.
Cc Zero IQ