Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Kuoa single mother sio tatizo unaweza kumcontrol na single mother weng now days Ni Hawa wasomi je utaweza kumcontrol na 50/50 zao utasikia tu nam Nina check number ukinishindwa niache kwan si umenikuta nalea mtoto mwenyewe.

Na Hawa wengne utasikia nafuata matumizi ya mtoto huko sasa lazima kipigwe
 
A.k.a Mabaharia [emoji1787][emoji1787][emoji1787],,, ila sio siri wahuni sio watu kabisa, mtoto anakula mistari hadi analegea af baharia kumbe hana hata mpango, anam menyesha vitunguu tu binti wa watu na mimba juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We mwenyewe kuna mtoto ulizaa ukamtelekeza na Mama yake,na that thing itakutafuna consious yako hadi kiama, that's y una hasira sana na singo moms,inshort unahasira na uliyoyatenda enzi hizo na the memories are haunting daily pole
Mtafute huyo mwanamke na mtoto upate amani ya moyo otherwise utachizika siku si nyingi
 
Men are a destruction in women's success
Ukiwa single utajiamulia nini ufanye,lini wapi na kwa mostly manufaa ya mwanamke mwenyewe, in short una nafac kubwa ya kutimiza ndoto zako kama mwanamke
Ila ukiolewa ama ukawa somebody fiance's unaenda kutimiza ndoto za huyo mwanaume kwa sehemu kubwa.
Kweli kabisa...yani unakuta umeolewa una mipango yako ye yote anaipinga.anaanza kukupangia.uishi na ufanye kile kinachompendeza kama mume.mwingine anakupiga marufuku hakuna kufanya chochote,we kaa nyumbani zaa na kulea basi..ukiongea unaonekana mwanamke mkorofi humtii mumeo ..
Sitaki haya maisha aisee!
 
Kuna walioolewa pia nao hawaletewi msoto km kawaida wa kujitafutia hd chakula,kodi ya nyumba na Nguo za watoto.
Ya kweli hayo?
Hapana wanawake walioolewa hawana hixo shida,mume anatimiza kila kitu ikiwemo chakula,Kodi,matibabu,elimu,mavazi na kumtreat mke kama malkia kama kuna mwanamke kaolewa halafu anapambana kufanya hayo peke yako huyo kajioa
 
Ya kweli hayo?
Hapana wanawake walioolewa hawana hixo shida,mume anatimiza kila kitu ikiwemo chakula,Kodi,matibabu,elimu,mavazi na kumtreat mke kama malkia kama kuna mwanamke kaolewa halafu anapambana kufanya hayo peke yako huyo kajioa
Unaishi dunia ipi? Wapo wengi Sana wanaishi maisha hayo akikaa nje na wanawake wenzake anaficha ili mradi aonekane yupo kwny ndoa. Hadi boxer wananunua.
 
Mwanaume yeyote anaemsimanga mwanmke aliezaa na kulea mtoto peke yake ni wa kupimwa akili

Kama una akili zako timamu kweli anza kuwaongelea na waliowapachika mimba na kuzikataa,ongelea waliowabaka,na sio kila mwanamke anaelea mwanae mwenyewe ana tabia mbovu.kuna single mothers wengine wajane baba wa watoto wamefariki,wengine wamefungwa jela nk.

Ukumbuke bila ushiriki wa mwanaume mimba isingetunga.
Asante umemjibu vizuri Huyu mkuu
 
I find there’s nothing wrong with marrying single mom if you have already set your own standards as a man. Personally i can wife a single mom under the following stated conditions;

1.I am already a father of one or two children and the woman is a mom of not more than one child.

2.I am old enough(40s) and many ladies who are at reasonable range of age to match up with me are already single moms.

Single mothers ni wanawake kama walivyo wanawake wengine wasiokuwa single mothers!
 
Ukiwa single mama halafu ukasoma thread zinavyowaponda single mothers unaweza ukahisi ndio basi tena yani hata ndoa bye bye....ila turudi kwenye uhalisia huku mitaani tunapoishi mbona single mothers kibao wanaolewa na ndoa zao zinadumu tu? Na kuna wengine wapo kwenye mahusiano na single mothers ila basi tuu kutaka kuonekana hawako nyuma wanakuja kuwapondea humu[emoji849]
 
Single mother's mtakuja kubisha hapa ila ukweli ndio huo Kuoa Single Mother ni kama kurisk kwa kwenda kununua Kiwanja unachojua wazi kabisa kina mgogoro,

Uhalisia ni kama unacheza betting tu, sasa kwa nini uwende ukanunue kiwanja chenye mgogoro na wakati viwanja vya wazi vipo vingi,

Single mother's wamesharisk maisha Yao kwa kuwa tayari wana watu wao Walio wapa viwanja vyao wavitumie, kijana/mwanaume mwenzangu usipoteze Muda wako kwenda kutaka kujenga kwenye kiwanja hicho kwa sababu ipo siku yule aliyepewa kiwanja mwanzo atarudi na kukaa kwenye apartment yake,

Mademu mbona wapo wengi tu wanaohitaji kuolewa na sio Masingle bi mkubwa, na siku hizi Posa sio inshu tena unamwita tu Sogea tukae baada ya wiki kashakuwa mke,


Siku hizi wasichana wanazaa zaa tu bila kuwa na future, hawaogopi tena kuwa masingle Bi mkubwa kwa kuwa wanajua kuna wanaume watatokea na kuwaoa.

Hawa ni wa kuweka kambi ya muda tu ila ukitaka kuoa nenda kaoe demu ambae utaanza nae Race.



Cc Zero IQ
Siyo hivyo tuu mkuu ukitaka kufa mapema oa single mom,hawa viumbe ni wasumbufu hatari.
 
Back
Top Bottom