Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Nami ningemuambia nani? alikuambia upanue mapaja na kunyenyua miguu juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maswali ya msingi haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umetiririka vizuri....umepitia hii stage ya usinge mother nini
 
Naona kila mtu anajifanya kuwakataa single mamaz kana kwamba wale ambao hawajazaa hawawezi kukumbushia na wanaume wao wa zamani. Kama huyo manzi ni zombi hakuna namna awe amezaa hajazaa akitaka kuchepuka atachepuka tu!
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu hebu tupe story ulikuwa huna hela nini kipindi hicho
 
Achana na hao watu,masingle mother waliowengi hawajitambui ndo maana wakazalishwa na kutelekezwa,
 
Ukioa single mother usiwe na wivu mana mzazi mwenzie akija mtembelea usijae nyembe AF ukute ndo kamtoa usichana sasa duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…