Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Waebrania 13 : 4 "Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi, kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu" wewe hilo andiko umelielewaje hebu tuanzie hapo kwanza??

Halafu unaposema mwanamke akitubu bikira yake hairudi kwani ni wapi Mungu alisema ukitubu dhambi kama katika hiyo dhambi kuna kitu ulipoteza basi ni lazima kirudi kwani je mtu akitubu dhambi ya kuua akasamehewa huyo aliyeuliwa atarudi?? Kinachomatter ni mtu kusamehewa tu au na hicho kilichopotea kurudi?? Naomba unijibu hili swali tafadhali
 
Jombaa mbona unalazimisha watu wale maparage wakati umewakuta wanakula pilau?

Nenda kafungue uzi wenye hiyo title unayoitaka kisha tutakuja kuchangia.
Mimi nimejenga hoja tu na kama unaipinga jibu kwa hoja mkuu.
 
Marianah uko poa? Naona tumeamkia kujibu hoja za mijadala inayowanyanayasa karibu tuendeleze mpambano.....
 
Hizo mimba hawajipi wenyewe
 
Alichokiandika Heaven Sent ndicho tunachokimaanisha wanawake wengi hapa jukwaani ila sijui mnajifanya hamuelewi au sijui kuna watu maalum ndiyo mnataka wayaongelee haya mambo wengine hawatakiwi kuyaongelea au sijui shida yenu ni nini??
Heaven Sent comment yake iko so impartial na objective.

Yaani imelenga kila mahali bila kufunika funika madosari ya jinsia yoyote, tofauti na nyie wengine ambao tangu mnaanza kuchangia mada hii mna one-dimensional perspective.
 
Heaven Sent comment yake iko so impartial na objective.

Yaani imelenga kila mahali bila kufunika funika madosari ya jinsia yoyote, tofauti na nyie wengine ambao tangu mnaanza kuchangia mada hii mna one-dimensional perspective.
Kama wewe ulivyoegemea upande mmoja
 
[emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Sisi wengine tunaishi na familia zetu ndio maana tunaujua ukweli. Yaani hatubahatishi.

Ila kuniambia kwamba nina yumba kwenye Imani,lazima nikutafute aisee,hili ni deni,lazima unilipe.
 
Jokajeusi, Sidhani Kama mada Ni bikra.
Mada Ni single mama.
Kama hutaki Marianah aulize maswali yake unayoyaita ya kipumbavu Basi hata wewe usiongelee bikra.
 
Ah kwa leo naomba tusije kuhamia kwenye dini tafadhali sitaki kabisa kuingia huko huu uzi utafika comments 1000 sasa hivi kama ule wa siku ile kwa mabishano ya dini tu halafu tutakuwa tumetoka nje ya mada
Hiyo ni maana ya ujumla na kule nilitumia msingi wa lugha vile vile,sema maana ya Marianah ilikuwa ya uongo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lizarazu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Marianah hivi unakubaliana na mtoa mada kwamba lizarazu Ni mwehu!?
 
Hivyo ndivyo watakavyochukuliwa na kina nani?? Hilo ndiyo swali la msingi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…