Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Marianah anacheza namba moja na lizarazu.
Wewe hapo unakula sahani moja na Zurii.
Halafu wewe huwa ni mchokozi wa mada a.k.a kivuruge[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Leo sipo kwenye mood ya kuchangia kabisa.
Ila huwa najitahidi kuchokoza tu watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].najua Kuna mada umeniona,niliivuruga nikaingizia Mambo yangu mengine[emoji1787]
Leo Lizarazu amezidiwa Sana aisee maana washambuliaji wamemzidi aisee..
Yaani utadhani yupo peke yake uwanjani..ana kazi kubwa sana
 
Hujajibu nilichouliza na ulichojibu sijakuuliza.

Watu wazima wamekubaliana kuwa katika ndoa, wewe kinachokuwasha ni nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1373][emoji1373][emoji1373]
 
Umetoka nje ya mada.
Mada Ni single mama sio bikra.
Hii ya wanaume wanzinzi na mabinti bikra Ni mada nyingine.

Ukitaka Marianah asiulize maswali unayoyaita ya kijinga Basi na Wewe usiongelee bikra.
Umetoka nje ya mada.
Mada Ni single mama sio bikra.
Hii ya wanaume wanzinzi na mabinti bikra Ni mada nyingine.

Ukitaka Marianah asiulize maswali unayoyaita ya kijinga Basi na Wewe usiongelee bikra.


Unajua kiini cha mada lakini Mkuu?

Kichwa cha Mada kinahusu Single mother lakini kiini cha mada ni uzinzi wa wanawake. Huoni jambo hilo. Ndio maana nimeweka bikra. Sijui kama unashindwa elewa jambo hili.

Unaufahamu na habari za uandishi au kusoma makala na kuzichambua?
 
Mimi nimejenga hoja tu na kama unaipinga jibu kwa hoja mkuu.
Na mimi nimekujibu kwa hoja, hii mada inaongelea mienendo ya single mother anapokuwa ndoani na mwanaume ambaye si baba mtoto wake. Hivyo inategemewa ukija na michango yako itakuwa na mantiki sawia na kiini cha mada yenyewe.

Sasa wewe aidha kwa ujuaji wako au huruma ya single mothers unaanza tena kuleta habari za kubadilisha title ya mada!? Kwanini usifungue na wewe uzi wako ukiongelea hicho unachokitaka halafu tuje tuchangie pasipo kutoka nje ya mada?
 
Unajua kiini cha mada lakini Mkuu?

Kichwa cha Mada kinahusu Single mother lakini kiini cha mada ni uzinzi wa wanawake. Huoni jambo hilo. Ndio maana nimeweka bikra. Sijui kama unashindwa elewa jambo hili.

Unaufahamu na habari za uandishi au kusoma makala na kuzichambua?
Kama Ni bikra Basi hata Marianah ana Haki ya kuuliza hayo maswali maana chanzo Cha usingle mama Ni kupoteza bikra kwa mujibu wako...na chanzo Cha usingle mama Ni wanaume kuwatia mimba mabinti...
Nadhani haina haja ya kumkandamiza na kudhihaki maswali ya Marianah
 
Then stop saying words like "you are stressed" or "you are a single mother" because they are out of these topics
Am into nobody's life maybe from your feeble judgment of my comments!! My responses are merely based on all possible premises of the discussed matter.
 
Inashangaza watu wanajivunia kujiita mabaharia.
Hii dunia wanaume wameisha kabisa...haya mengine yaliyobaki Ni mafurushi tu...Mungu tunusuru tusiyapate haya mafurushi(kwa sauti ya atoto)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuna magalasa mengi mno siku hizi
 
@Marianah,


Ndio hapa unadhirisha ujinga wako.
Kwa hiyo wewe kwa akili yako hata ungekuwa na sifa mbaya hapa JF ndio usifuatwe PM.

Mkuu naona umepaniki hata hujui ushike lipi. Unarukia rukia matawi kama ngedere. Mara PM mara sijui wanaume wajinga. Yaani umevurugwa haswa Mkuu.

Pole. Waambie Moderator wakusaidie kufunga Pm yako kama wewe huwezi.
Hahahahha!

Leo umeonyesha kiwango kikubwa cha ujinga ambacho ni wachache watakifikia.
 
Sisi hatupingi ila tunajaribu kuwafumbua macho kuwa tatizo lipo pande zote mbili na siyo upande mmoja ila ninyi ndiyo mnalazimisha tatizo liwe upande mmoja
Basi fungua uzi ukielezea jinsi gani hili tatizo linavyochangiwa na pande zote mbili na sio kuleta contextual derailment na kupoteza mantiki nzima ya mada.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1373][emoji1373][emoji1373]
Kiumeni ukishobokea sana ndoa za watu kwa nini mwanamme huyu kamuoa mwanamke yule unaweza kuonekana una wivu ulitaka kuolewa wewe mwanamme.

Hawa wanaume suruali hawajui katiba ya uanaume inasemaje.
 
Tuna magalasa mengi mno siku hizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nao wanaitwa akina baba[emoji1751]
 
Kama Ni bikra Basi hata Marianah ana Haki ya kuuliza hayo maswali maana chanzo Cha usingle mama Ni kupoteza bikra kwa mujibu wako...na chanzo Cha usingle mama Ni wanaume kuwatia mimba mabinti...
Nadhani haina haja ya kumkandamiza na kudhihaki maswali ya Marianah

Anahaki lakini nimemwambia aanzishe mada inayohusu ya wanaume wahuni ataona tukija kuchambua bila hofu. Mada hii ni wanawake.
 
Kiumeni ukishobokea sana ndoa za watu kwa nini mwanamme huyu kamuoa mwanamke yule unaweza kuonekana una wivu ulitaka kuolewa wewe mwanamme.

Hawa wanaume suruali hawajui katiba ya uanaume inasemaje.
Lizarazu mkasome katiba ya wanaume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom