Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Hii mada duu.
Nimefurahi sana namna ambavyo mpambano unaendelea hapa.
Tatizo washambuliaji ni wale wale[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Inabidi wapumzike.
Jamani half time imefika..
Tubadilishe wachezaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lizarazu atolewe...amechoka
 
Sidhani Kama mada Ni bikra.
Mada Ni single mama.
Kama hutaki Marianah aulize maswali yake unayoyaita ya kipumbavu Basi hata wewe usiongelee bikra.

Bikra ndio mzizi wa mada.

Kuwaponda Single mother nakuacha wasio na bikra ni kutwanga maji kwenye kinu.

Au mkuu wewe sio single Mother lakini hauna bikra ndio maana unataka suala la bikra lisizungumziwe.

Mada inahusu wanawake wazinzi.

Baadaye tutajadili wanaume wazinzi pia kwenye mada yao. Hao wajiitao mabaharia.
 
Sisi hatupingi ila tunajaribu kuwafumbua macho kuwa tatizo lipo pande zote mbili na siyo upande mmoja ila ninyi ndiyo mnalazimisha tatizo liwe upande mmoja
Lini hiyo?

Na kama wanapinga kipi cha ajabu? Mbona hata nyie hapa mnapinga?
 
Bikra ndio mzizi wa mada.

Kuwaponda Single mother nakuacha wasio na bikra ni kutwanga maji kwenye kinu.

Au mkuu wewe sio single Mother lakini hauna bikra ndio maana unataka suala la bikra lisizungumziwe.

Mada inahusu wanawake wazinzi.

Baadaye tutajadili wanaume wazinzi pia kwenye mada yao. Hao wajiitao mabaharia.
Umetoka nje ya mada.
Mada Ni single mama sio bikra.
Hii ya wanaume wanzinzi na mabinti bikra Ni mada nyingine.

Ukitaka Marianah asiulize maswali unayoyaita ya kijinga Basi na Wewe usiongelee bikra.
 
Ahaaaa haaaa haaaaa ... we jamaa ni mwehu. Sija disregard mawazo ya masingle moms bali nafikiri kuchukua mawazo yao pekee kama ground basis mtazamo wako lazima uwe bias coz wamekuibia.

Rudi kwenye original thread ... kwa asilimia kubwa ushambuzi wa mkuu una ukweli, ingawa mchungu.
Haujui hata unachokiandika...!!
 
Mwenye ndoa ni mwanamume, ndiye anayeoa. Yeye ni mtafutaji na mlishaji tu, ila mama ndiye mwenye connection na mtoto, ndio maana hata akiwa na wake watano kila mmoja akawa na watoto, ubaguzi utafanywa na wanawake, sio mwanamume.

Mwanamke akiolewa huku ana mtoto atamtunza, mwanamume akioa huku ana mtoto mama atajaribu kumtunza mpaka pale tu atakapopata mtoto kwa mume yule. Hapo mtoto rasmiatakuwa wa kambo na litakuwa tangazo la vita ndani ya familia.

Hivyo huwezi kumlinganisha mwanamke na mwanamume kwenye eneo hilo, ni sawa na wajinga wanavyosema eti mume akitembea nje ya ndoa yeye anafungulia mbwa, huu ni ujinga wa kutoelewa tofauti ya kiasili kati ya mwanamke na mwanamume.
Stereotyping

Mabinti wasio na watoto wangekua dili sana basi wangekua wameolewa wote huku single mothers wakiachwa...ila God is for us all☺️
 
Hivyo ndivyo watakavyochukuliwa na kina nani?? Hilo ndiyo swali la msingi!!

Hata Mama mkwe wako atakuchukulia hivyo.
Mimi na wanaume wenye akili tutawachukulia hivyo.
Mungu mwenyewe atakuchukulia hivyo.
Wazinzi na wenye tabia za kimalaya. Iwe ni wakiume au wakike ndio watachukulia poa.

Kutetea uovu inahitaji uwe kichaa uliyebobea. Bikra inaheshimika popote pale kwenye hii dunia. Hata Mariam mama wa Yesu alipewa na anapewa heshima Mbinguni na Duniani akiwa muwakilishi wa Wanawake bikra.

Kumbuka. Siwatetei wanaume hapa. Sitetei wanaume wazinzi na waharibifu. Bali najadili kile ambacho mada inataka.

Mada imejikita kwenye uzinzi wa Wanawake. Ikawa specific kwa Wanawake walio single Mother. Mimi nimejadili kwa uzinzi wa wanawake kwa ujumla kwa kusema wasio na bikra.

Siku nikiona mada inayojadili uhuni wa Wanaume kwenye uzinzi nitajadili.

Ipo mada humu kuna mdau alikuwa akijisifia upumbavu kwa kuharibu binti wa nne kwa kuwatoa bikra. Nilimjia juu.

So usijeona nipo Biased kwenye hizi ishu. Weka mada ijadiliwe.

Sio uwe inferiority inapojadiliwa mada ya wanawake malaya. Na kuleta utetezi butu. Ati wanapewa mimba na nani. Ati wanatolewa bikra na nani.

Huo ni upuuzi.
 
Ah kwa leo naomba tusije kuhamia kwenye dini tafadhali sitaki kabisa kuingia huko huu uzi utafika comments 1000 sasa hivi kama ule wa siku ile kwa mabishano ya dini tu halafu tutakuwa tumetoka nje ya mada
Sawa.
 
Back
Top Bottom