Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Embu ngoja Kwanza...alikuja PM!??
 
Sawa ila kwahiyo kumbe unakubali kuwa mwanaume na mwanamke wote wanaweza kuwa malaya na wazinzi si ndiyo?? Case closed!!

Hahaha!!
Kwani nani amebishia hilo?
Tulikuwa tunabishania kuhusu bikra. Mimi nilikuwa nakuambia kuwa hakuna mwanaume bikra bali wanawake ndio bikra. Hilo likakuuma sana. Tukabishana weee. Lakini huo ndio ukweli.

Kumbuka haimaanishi kuwa kwa vile mwanaume hana bikra ndio afanye uzinzi. Wote hawapaswi kufanya uzinzi.

Lakini hoja ya ubikira ipo dhahiri kwa mwanamke kutokana na maumbile.

Wewe unakuja juu na kuleta upuuzi upuuzi hapa
 
Kiumeni ukishobokea sana ndoa za watu kwa nini mwanamme huyu kamuoa mwanamke yule unaweza kuonekana una wivu ulitaka kuolewa wewe mwanamme.

Hawa wanaume suruali hawajui katiba ya uanaume inasemaje.
Asante wanaume wengi wanaumia kuona single mothers wanaolewa na wanaona kilichobaki ni kuwashambulia wanaume wenzao waliooa hao single mothers na kuwaita sijui mashoga sijui wala makombo wanadhani kila mwanaume ana akili za kushikiwa kama wao
 
but still kuna mkanganyiko hapa, sijawahi kusikia mwanamke anakataa kuolewa na single father
 
[emoji23][emoji23]nitakuelezea vizuri kule shosti
 


Sasa kusema ukweli kuwa mwanamke asiye na bikra ni malaya ni kuropoka. Wewe kweli umechanganyikiwa.

Mlango ukiwa wazi kwa nini watu wasiingie?

Ila huna ulilobadili.

Mada ipo sahihi kwa asilimia 98. Anzisha yako utoe hoja zenye mashiko tukuunge mkono.
 
marriage is an institution,our past mistakes doesn't necessarily mean that they can define our whole future.
It depends, some mistakes define the future, whether you like it or not. Tukiona mawingu tunasema mvua itanyesha. Huwezi kwenda kati ya madada poa kutafuta mchumba wa kuoa, why?

Lakini bado kuna option ya repentence, mtu anatubu kwa makosa ya nyuma, anasamehewa. Hiyo ni issue nyingine. Kwa non believers, mwanamke akijutia na kuacha njia zake mbaya, bado atakuwa na sifa hizi zinamfuata. Atkuwaa amejiweka kwenye mazingira magumu kumpata mtu sahihi kwake.

Nadhani hiithread iwe changamoto kwa kina dada wenye busara kujiepusha na ngono kabla ya ndoa. Hii ni standard nzuri kwao na kwa maisha yao ya baadaye. Kwa wale wanaoichukulia kama kashfa kwao, well and good, haikukusudiwa hivyo. Pia kwa vijana wanaotaka kuoa, niheri wakatafuta mabinti waliotulia tangu mwanzo kuliko akuingia mtego wa "does not define the future na kuishia kujuta. Humu hatuongei theories za mashuleni na vyuoni, ni practical life tu, basi. Wanaume na wanawake wenye uzoefu (waliokula chumvi nyingi) na maisha wameliona hilo.
 
Oohh hauwajui wanawake wewe
 
Wakisema si ndiyo kama hivyo mnapinga mnakuja na kauli zenu zile eti ooh mwanamke hatakiwi kujilinganisha na mwanaume
kauli zina maamuzi gani katika maisha binafsi ya mtu mwingine??? wanawake wakatae kuolewa na single fathers,maana ndoa ni hiari,
 
Nadhani hata mimi nilitakiwa niiseme hiyo sentensi yako ya kwanza kabisa
 

Kosa ni kosa ata kama kafanya mama yako. Kama mama zetu waliolewa wakiwa walishagegedwa doeant turn a weong into a right ata siku moja.
Ni ukweli kwamba mwanamke akishaolewa pasipo kuwa bikra baai huyo ameshakosa sifa kuu ya kuwa mke. ...hapo kilicbobaki ni ilimradi liendee tuu.

Ni sawa na mie mzabzab mgegedaji eti nijidai nina sifa za kuwa mume....hapo ni kujidanganya tuu...nilishakksa hiyo sifa ata nikioa ni fasbion tuu lakini kiukweli am not husband material...same appliea kwa mwanamke aliyegegedaa kabla ya ndoa
 
marriage is an institution,our past mistakes doesn't necessarily mean that they can define our whole future.
Pia unaposema ni instituition haiondoi principles zake. Hakuna instituion duniani isiyokuwa na kanuni na miiko.
 
Una uhakika anafanya umalaya!?
Kumbe unajua wazi hiyo sifa ya umalaya si yako bali amekubambikia tu...
Sasa mbona wewe unalazimisha akubali kuwa Ni Malaya wakati sio?
Si ndiyo hapo sasa anataka nimkubalie yeye kuwa mimi ni malaya lakini yeye siyo malaya
 
Jamaa ajaongelee kutulia .. single mother yeye maisha yake yote anampigania mwanae iliamsaidie kivyovyote .. nanikweli hata ukimtongoza single mother atakwambia ni na mtoto utaweza kumtunzaa ... hilo ndojibu la single mother wote dunia...
Ohoo wale wale
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa kwanini na wewe usianzishe mada ya mabikira?? Same thing!!

Mbona hizo nimeshaanzishaga nyingi humu. Labda wewe Mgeni.

Kipindi hicho alikuwepo Dada mmoja anaitwa Rebecca83 huyo naye alikuwa kama wewe. Naye nilimfuata PM kama wewe. Atakuja hapa kueleza.

So uzidhani nimeanza haya mambo jana. Wengi wananitambua kwa msimamo huo. Wewe ndio unaona mambo haya ni mapya.

Wewe unaleta upuuzi wako hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…