Mfano ingetokea mtu kaanzisha uzi wa kusema kuwa wanaume waache kuzalisha wanawake hovyo bila ndoa ungesema kuwa nao ni ukweli??
Na ndio hiki kinawafanya hamuolewi au mnaachwa,
COMPARISONS. Huu usawa unaoutafuta na ujuaji mwingi ndio unawafanya muwe singo mazas. Mwanaume na mwanamke wanaathirika kwa namna tofauti linapotokea suala la mahusiano kuvunjika. Sasa badala ya wewe kuangalia yanayokuathiri kama mwanamke uyaepuke, unakimbilia kujilinganisha...ok, ingeanzishwa hiyo mada unayosema ningesema
NI UKWELI. Well then, who cares about singo fazas?
My dear
Marianah maanguko yenu mengi ni zao la hizi emotions na malezi ya kiisidingo mnayopata siku hizi kutoka kwa Modernized Parents. Kumchagua mwanaume wa kuanza naye mahusiano si suala la show off. Sasa akili zenu mmezijaza masihara na mizaha ya
SIX PACKS, SIX INCHES, SIX FEET, SIX CARS and the likes. Kwa namna mnavyojinadi mitandaoni, hao mnawapata, lakini hawa si WANAUME, hawa ni 'mabaharia'...mnaanza nao mahusiano yenu hayo ya kijinga,
Anaanza kwa kukuita
SEXY,
Kesho unampa
SEX
Keshokutwa anakuita
EX, sasa kama katikati hapo palipatikana katoto ka huyo braza men, ndio mnaanza sasa msako wa kumtafuta
MWANAUME (in the real meaning of mwanaume) wa kulea katoto ulikokapata kwenye msako wa
SIX PACKS. Usijidanganye na maoni ya mitandaoni, hata hawa wanaowa-sweet talk humu majukwaani si ajabu tabia zao na za hao waliowazalisha na kuwaacha zinafanana tu...hawana umakini.
Your second life mistake ni kuteam up na
EMOTIONAL kaMWANAUME na kudhani you are safe. Mwanaume emotional na mwanamke hawana tofauti when it comes to decision making. Ataongozwa na emotions zake kujiaminisha kuwa its OK una katoto umetoka nako huko kwenye instagram life lakini mbeleni huko si ajabu ukawa singo maza square.
Na usidhani singo maza wanazaliwa nje ya ndoa tu. Wengine mliolewa kabisa, ila kwa kuwa motive behind ndoa zenu ilikuwa ni obsession ya sherehe ya harusi na shela, ndoa huishia miles chache mbele na taifa linapata ka singo maza kapya.
Mi navyofahamu, BRAZAMENI na mwanaume ni watu wawili tofauti. Wanaume huwa hatuzai na kutoroka, tunazaa na tunalea na ndio maana hatupendi kulea watoto wa wenzetu.