Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Stereotyping

Mabinti wasio na watoto wangekua dili sana basi wangekua wameolewa wote huku single mothers wakiachwa...ila God is for us all[emoji3526]
By the way, uliona ule umati wa wamama wa Dar es salaam pekee kwa mkuu wa mkoa? Think again wakati unafanya sampling
 
Asante mkuu, well said spiritually. Mwenye kubisha na abishe lakini ukweli mchungu utasimama
 
Swali ni illogical, mimi nimeongelea sababu mojawapo ya matatizo kwenye ndoa, wewe unatafsiri kuwa hiyo ndio sababu pekee. Nawaonya vijana, young generation ambao hawajaingia kwenye ndoa, wasije wakafakimia wasichokijua bali wafanye informed decisionz.
 
Ndipo upeo wako ulipoishia, need I say more?
Wewe uliyeshindwa kujibu maswali ndiye una haja ya kuongeza upeo.

Ungekuwa na upeo usingekimbia msawali.

Mwanamke yeyote akiolewa kwa makubaliano na mwanamme wake, wewe kinachokuuma ni kipi?
 
Pia uzoefu wa ndoa uanousemea wala hauna. Mimi naongelea mambo yanayoizunguka jamii, sio ndoa yako. Bythe way guess what, nishakusoma kitambo kisaikolojia.
 
Tatizo lako haujibu maswali yangu!!

Hawa wanawake wanaoolewa kila siku wote hawana watoto??
Unaelewa maana ya sampling? Hivi tukisema watusi ni warefu ina maana hakuna wafupi? Hili swali ni illogical
 
Sema jinsia zote zilelewe vizuri
Kwa kua tendo la uzinzi ni la wawili.,

Kuacha mtoto wako sio ushujaa sana.,

Yesu angeshuka tena leo angekuambia the same lines he said miaka elf 2 iliopita 'asie na dhambi amtumpie mawe single mom/mwanamke malaya'
 
Wewe uliyeshindwa kujibu maswali ndiye una haja ya kuongwza upeo.

Ungekuwa na upeo usingekimbia msawali.

Mwanamke yeyote akiolewa kwa makubaliano na mwanamme wake, wewe kinachokuuma ni kipi?
Anaumia sana kuona assumption zake kichwani hazi'hold in real life
 
Mkuu, mbona wapo wanaoolewa? Kumbe hujaelewa lengo la uzi huu, ni kuwazindua vijana mfano wa hao uliowataja kabla hawajaingia huko. Halafu hiyo mifano unayoitaja sipendi sana kuiongelea, no mentioning names. Wanajua mechanics walizotumia kufika huko, sitaki kabisa kujiingiza kuzisema hapa, nenda kwenye mitandao ya kijamii mingine utajifunza neno.

Mimi nawakumbusha mabinti kuzuia tamaa zao na vijana wote pi? Ni sifa njema kuolewa bila makandokando.

Kuzaa na kuacha sio sifa, wrong!! Kufanya mapenzi nje ya ndoa sio sifa njema achia mbali kuzaa.
 
Mtaishia gerezani wote, acheni wanafunzi, madada tupo wengi mtaani,tunajua mapenzi na unapewa bila ratiba,na matumizi yetu ni kidogo sana

Acheni maisha ya risk

😀😀

Hawatakuelewa... tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...


Cc: mahondaw
 
Unajitetea tu saivi..we have seen the stereotype already..
 
Anaumia sana kuona assumption zake kichwani hazi'hold in real life

Prince Charles kamuoa Camilla Parker-Bowles wakati Camilla ana watoto wawili tayari.

Na hao ndiyo ma snob of snobs, British Royal Family.

Mtu kama huyu siku akisikia Prince Harry kaoa single mother anaweza kuandamana kupinga ndoa.

Wakati anaowashupalia ndoa zao hata hawajui kwamba yeye yupo duniani!
 
We jamaa ni WOMAN OPPRESSOR aisee... Mitazamo yako ni too archaic...
Like men hawakosei. Very Wrong.
Yup, jinsi unavyoniona. Kila mtu ana mtazamo wake, who am I to deny such allegations!! Wengine ni oppressors ninyi wengineni liberators, that makes US.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…