Nachoweza kuwapongeza singo mama
Ni Kutokutoa Mimba.
Lkn kuna wale ambao, wamekua singo mama kwa kutafuta wenyewe...hawa kiukweli nawambia wapambane nahali tu zaidi wabadilike na waachane nazile mambo zikizowafikisha hapo ili wawe wapya na wafae kua mama wa Familia.
Kuna hawa walokua singo mama, sababu ya Kidume kumdanganya, kumfukuza n.k ..hawa nawaambia usife.moyo, usikate tamaa haikua Fungu lako.
Lkn swali la msingi litabaki kua palepale bila kujalisha ni singo mama wa aina gan.... Je kupasha kiporo haitakuwepo???????.hasa kwa kizazi hiki cha leo, kinacholilia kukojozwa, kupigwa mikito yamaana, kusuguliwa kisawasawa, kunyonywa uchi, tigo n.k?????
Ikiwa wee muoaji hayo hayapati?????.
Sema nn, Nadhan tufike mahali tukubaliane na ukweli kua, "Mwanamke atabaki kua mwanamke ,awe kazaa au hajazaaa bado atabaki kua mdhaifu tuu".
Sisi ambao hatujaoa, wakuu ,tuomben sana ili tupate kilicho sahihi na kinachotufaa..
Kwa maana haiingii akilin, umeoa bikra, alafu unachapiwa sanaaa... Au umeoa, umemzalisha wee, lkn unachapiwa sanaaa???
Mambo ni mengi na magumu.