Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Eeeh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Anasema huwa anamwaga maji ya sabuni kwenye tiles halafu anapiga msamba inatoka yenyewe
Duh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sasa Mtu Kama huyu duh,,si Bora single mama jamani
 
Hakuna mtu anayekataa kuwa hili tatizo la single parenthood linasababishwa na pande zote mbili yaani mwanamke na mwanaume na linahitaji kukemewa kwa jinsia zote mbili.

Sasa wewe unachokifanya hapa ni kulazimisha tujadili vitu visiovyokuwepo ndani ya mada. Kumbuka hii mada inahusu tabia au mienendo ya mtu ambaye tayari ni single mother ndani ya mahusiano yake mapya na mtu mwingine tofauti na baba wa mtoto wake.

Michango yako wewe na ya wengine wenye mawazo sawa na wewe inajikita kwenye sababu au wasababishi wa hao single mothers, sasa hauoni hapo uko kwenye mjadala mwingine?

Naomba leo ufungue uzi unaohusiana na wasababishi wa single mothers hasa wanaume tuje tujadili.
 
Kama Jinsi bikra ilivyoingizwa kwenye hii mada naye ameingiza wazo lake kama mzizi wa tatizo na haya mambo yanaenda sambamba
 
Nikuoneshe threads zinazoongelea hilo la visababishi vya single mother?

Kwanza bikra ni sehemu ya mada isome vizuri.
Hata hii pia inahusiana mbona.
Sio lazima hiyo yako unayoitaka.
Bikra inahusiana ndiyo sijakataa na naunga mkono hoja kwa asilimia Mia moja[emoji14]
Hoja ya Marianah pia naunga mkono
 
Mwapoleni mkwai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…