Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

I don't care umenionaje, wala sihitaji nikufurahishe, mimi nasema ukweli vijana wafunguke macho, mabinti kwa wavulana. Kama nimekuudhi halikuwa lengo langu, ila jamii imepaswa kubadilika. Ikimbieni zinaa.

Hata makanisani dhambi siku hizi hazikemewi kwa lengo la kuhifadhi waumini, so nikisema mimi sishangai ukanichukia. Biblia imekataza kuoa wanawake waasherati, achia mbali walioleta ushahidi wa watoto. So its up to you my lady.

Mwanamke anayeweza kuolewa kwa amani kabisa kama kijana kaamua hivyo ni mjane. Na ninyi mnaowaita wajane ma single lady mnakosea sana, hawa ni wanawake wenye heshima zao, wameunganishwa na familia tayari kumzalia Mungu matunda. Mume akifa hawa wamekuwa chini ya uangalozi wa familia ya mume, kwani ni wamoja.

Kama mwanamke mjane akiolewa ni sahihi katika ulimwengu wa roho kwa sababu ile nafsi iliyofanya kiapo naye haipo tena duniani. Kumbuka ule mfano wa mtu aliyeolewa na wanaume saba, wote walitajwa kwa condition moja tu, alipokufa huyu aliolewa na yule. Kifo, kifo, kifo!! Until death do us apart!! Sio njemba bado ipo inakula oxygen halafu unajidai kuoa mke mwenye mkataba wa kiroho na njemba hiyo. Now this is spiritual in a nutshell.
Mkuu unaandika vitu hatari sana

Tatizo watu ni wabishi sana, Hahahahaha!
 
Relief Mirzska brother...toa neno [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nilisema nitaandika kwa habari ya waliozaa kwenye ndoa(hawa sio single mom, ni wajane). Ngoja niiweke sasa hapa chini.
So ndoa imehalalisha uzinzi ndo maana unaona ambao hawajafunga ndoa ni Wazinzi hapo tu ndo kuna kosa ila mwanamke Akiolewa ukaachika unakuwa sio single mama... bhasi tuwaite single bibi maana sio wajane...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji119]
 
Relief Mirzska brother...toa neno [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa maneno ya jamaa Mwanamke akiolewa akiachika anafaa kuolewa kabisaa huyo Sio single mama hata kama ana watoto..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maana alifunga ndoa. Na Hajui ndoa zenye misukosuko ni za aina hiyo ambapo wanaume waliowazalisha wanawake baada ya kufunga ndoa na kuachana nao wanakuwa bado wapo hai. Mwanamke ambae mwanaume aliemzalisha either kwa ndoa au bila ndoa alifariki, wengi wao huwaga hawana shida na ndoa zao mpya na wengine huamua kutulia wasiolewe kabisa.
 
Jamaa ni bwegr tu kujikuta anajua kushauri hapa huku anawatoa kasoro na kuwatukana wadada wa watu...!![emoji23][emoji23][emoji23] Akati kwenye ukoo wake wamejaa kibao hajawai waambia hata kupitia Group la ukoo akwende huko Mtu mnafiki Muogope sana.
Ana shida mahali.
Kila Uzi umejaa kilio kuhusu wanawake.
Ukiona hivo ujue alishashikwa pabaya au ndoa yake haina furaha anakuja kupooza machungu.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Inabdi tumuulize tuu...!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Itakuwa ukoo wao una maandiko sio Biblia.
 
Ana shida mahali.
Kila Uzi umejaa kilio kuhusu wanawake.
Ukiona hivo ujue alishashikwa pabaya au ndoa yake haina furaha anakuja kupooza machungu.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
100% Huyu kuna single mama kamnyoosha hasaa akaona aje kutuandikia magazeti humuu[emoji23][emoji23][emoji23] Inabdi aitishe seminar kabisa aelezee machungu yake.
 
Inabdi tumuulize tuu...!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Itakuwa ukoo wao una maandiko sio Biblia.
Nilishamwambia kila mtu anajua anachotaka.
Watu hawaongozwi na hisia za maoni ya wachambuzi uchwara wa mahusiano huku mitandaoni.
Nikamuuliza yeye kila kitu kuhusu wanawake anakijua hiyo experience kaitoa wapi? Sikumbuki kama alinijibu zaidi ya kupanic.
Yaani amekariri maisha kisa yeye kafeli anachukua hiyo kama ndio sheria.
 
100% Huyu kuna single mama kamnyoosha hasaa akaona aje kutuandikia magazeti humuu[emoji23][emoji23][emoji23] Inabdi aitishe seminar kabisa aelezee machungu yake.
Tena alinyooshwa haswa.
Maana kila Uzi akifungua ni wanawake , wanawake. Single mother, single mother [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Halafu ukimlima fact, anapaniki na kumwaga maneno makali ya ajabu ajabu utadhani alichoandika ni sheria hakitakiwi kupigwa.
 
If you go back and check kwenye "likes" za post ile ya Heaven Sent utaikuta like yangu.

Sijaitoa bure bure. Me napenda wanawake ambao ni brain bro
Huyo mwanadada akiandika comment yake hata kama ulikuwa unabishana nae, unajikuta ubishi unauweka kando halafu unajifunza kitu kwanza kwenye hilo hilo bandiko lake.

Unaweza ukajikuta badala ya kuendeleza mabishano unakula lecture[emoji12][emoji12]

She's smart as hell... All hail to you mama HS bandiko lako nimelielewa sana.
 
Nilishamwambia kila mtu anajua anachotaka.
Watu hawaongozwi na hisia za maoni ya wachambuzi uchwara wa mahusiano huku mitandaoni.
Nikamuuliza yeye kila kitu kuhusu wanawake anakijua hiyo experience kaitoa wapi? Sikumbuki kama alinijibu zaidi ya kupanic.
Yaani amekariri maisha kisa yeye kafeli anachukua hiyo kama ndio sheria.
Haipo hivyo kabisaaaa... Yani kinachokupata wewe ni maisha yako Usibebe hiyo sumu ukaenda kuwajaza wengine! Pambana na hali yako[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tena alinyooshwa haswa.
Maana kila Uzi akifungua ni wanawake , wanawake. Single mother, single mother [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Halafu ukimlima fact, anapaniki na kumwaga maneno makali ya ajabu ajabu utadhani alichoandika ni sheria hakitakiwi kupigwa.
Naona unajazia nyama.
Muacheni Kaka apumzike..hii mechi haikuwa ndogo jamani
 
Wanajamvi watanisaidia labda kama nina shida kwenye uelewa wangu au la
Yawezekana kabisa
...... tunachojadili ni hii mada. lakini upande wangu siafikiani asilimia zote na mtoa mada mosi, kuwa single mothers wote wana matatizo waingiapo kwenye ndoa zao
Sio wote wana matatizo ndio but mind you in statistics a representative sampling suffices
na akichagiza wanaume wasithubutu kuwaoa. tena anaenda mbali zaidi akisema wanawake wanaostahili kuolewa ni wale bikra tu
Na huo ndio ukweli, ukioa mwanamke asiyekuwa na bikra tu unahesabika umeoa mke wa mtu kiimani na hata kijamii pia sembuse single mother ambaye tayari ana muunganisho usiojificha wa usiofutika na bwana yake. Pia mleta mada hajazuia watu wasio single mothers bali alichofanya ni kama kutoa taadhari hivyo utaamua mwenyewe kama ushauri wake unafaa au haufai
. Pili natoa mtizamo wangu mpana kuwa si single mothers tu waingiapo kwenye ndoa ndo huwa na matatizo ya kurudia mahusiano na wazazi wenzao bali pia hata wanaume waliobahatika kupata watoto na baadae kuoa wanawake wengine huwa na matatizo kama hayo pia japo nao si wote.
Sasa huu mtazamo wako hapa sio mahala peke ungesubiri au ungetafuta mada inayo fit na huo mtazamo wako ukachangia ingeleta maana, ukiuleta hapa kwenye mada hii utakuwa unafanya contextual derailment. Ukilazimisha kuuleta hapa sana sana tutakuona wewe ni single mothers sympathizer na unajaribu kufanya justification ya maovu yao na huna lingine
Lakini kwenye mijadala hutokea watu wakaunga mkono moja kwa moja mada iliyopo mezani.....kitaaluma hawazuiliwi. lakini pia wapo ambao huikataa mada moja kwa moja kwa hoja zao walizotoa nao hukubaliwa. na mwisho huwa kuna upande wenye kufanya ulinganisho wa mada husika na nyinginezo/upande wa pili na hatimae hutoa pendekezo au ushauri juu ya mapungufu yaliyomo kwenye hiyo mada hili nalo linakubalika.
Nafikiri kwenye mjadala kama huu hapakuwa na umuhimu wa kuleta blah..blah za ulinganisho na zinginezo, ulichopaswa kufanya hapa ni kuchangia mada bila kutoka nje ya mantiki ya mada yenyewe, habari za kuuhusishanisha hii mada na nyingine ambayo hazipo hapa ni dalili za kutokuwa na hoja yenye mashiko yaliyo sawia na mada husika, mbona kuna walipigana na hii mada bila kutoka nje ya mantiki kabisa, wewe una kwama wapi?
Sasa wewe mkuu unaweza kunifunza ni namna gani ya kujadili mada mbalimbali tukianzia na hizi za jukwaa hili. Sijawahi kuacha kujifunza mkuu.
Dude hapa hatuko jukwaa la elimu wala la lugha, halafu sioni kama lengo lako ilikuwa ni kuja hapa hili ufundishwe namna ya kujadili mada. Hii haiwezi kuwa serious hata kidogo.
 
Back
Top Bottom