Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Sanaa.. Wanaandamwa mnoo...
Mbaya zaidi kwa Mtazamo wa jamaa ...' Mwanaume hakosei '
Damn.
Thats very bad. Very bad.
Labda jamaa hajajichanganya na jamii ...au anaishi maisha ya five starss...kiasi kwamba hajui Vile wanaume wanarubuni mabinti wadogo kabisa na vile wanavyotumia umasikini au mazingira yao magumu kuwaharibia maisha.
Bado namtafakari.
Naishi kwenye jamii ya kawaida kabisa. Naweza kukukaribisha kwangu pia ukitaka unichunguze vizuri. Sema mimi sina tabia ya kujipendekeza, kwenye ukweli nasema watu waumie kisha wapone.
Kurubuni mabinti wadogo, wazazi wako wapi kuwalinda? Jamii iko wapi? Kuna kosa kubwa tunalofanya wazazi kuhusu watoto wetu, nitalisema siku nyingine. Lakini hilo haliondoi ukweli.
Ndoa sio taasisi ya huruma, kuna kanuni zake.