Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii


Yaani Mungu ameruhusu? Duh, basi sawa.
Habari ya mshahara wa dhambi ni mauti ni habari nyingine hiyo. Nafsi itendayo dhambi hakika itakufa, ndivyo maandiko yalivyo. Sisi tunaoishi bado hatujafika mwisho wa mwezi tukapokee huo mshahara, usichanganye mada.
 
Sasa wewe Nyenyere unadhani watu wanatenda mema kwa ajili ya kuwafurahisha wanadamu?? Aise kama wapo watu wa aina hiyo basi nawapa pole mimi kama kuna sababu yoyote inayonifanya nisitende dhambi basi ni Mungu tu na si kitu kingine isingekuwa Mungu basi pengine saa hizi ningekuwa nina dhambi kama bahari mimi siishi kwa kufuata mitazamo ya watu wengine ambao hawawezi kunifanya kitu

Na hata siku moja siwezi kufungwa na tamaduni za kishenzi zilizotungwa na wanadamu kama mimi tena zinazonikandamiza nafungwa na maandiko tu kwa sababu maandiko ni ya aliyeniumba na hayanikandamizi sasa wewe unaposema hauongelei dhambi ina maana unataka watu wafanye vitu kuwafurahisha wanadamu na siyo Mungu?? Narudia tena hiyo jamii unayoiota haipo na haitakuwepo amka tu kutoka kwenye huo usingizi
 
Simama kwenye nafasi yako, umeelewa? Feminism imekupoteza hata huoni
 
Kwahiyo hapo mwanaume anakuwa hajafanya makosa anakuwa yuko sahihi kabisa??
Mwanamume anayemtoa bikra binti imempasa kumwoa, lakini kinachofanyika unanyofoana vichakani kwa kukidhi kiu ya wakati huo,ikifika wakati akili zimekaa sawa mwanamume hamwoni binti kama chaguo sahihi. Inabaki ni kilio na kusaga meno
 
Wewe unadhani kila ndoa iliyodumu imefuata hizo kanuni unazozijua wewe?? Na kwahiyo wazazi wanatakiwa wawalee vizuri watoto wa kike tu ila watoto wa kiume walelewe vibaya ili waje kurubuni watu siyo??
Nilijibu swali kufuatia mahitajio yake. Wewe unaleta feminism
 
Wapi nimeongelea dhambi? Uko negative ndio maana umejenga picha akili mwako ambayo wala haipo hapa.
Single mama wengi ni matokeo ya uzinzi ama uasherati. Kwani hii verse ulikuwa unamaanisha nini??? Uzinzi sio dhambi ni biskuti eti???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mzee tulishamalizana tukaelewana nini tena unaanza kushupaza shingo[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Kama unataka maandiko, twende kazi. Hoja zako nyingi zina mwelekeo wa feminism
 
Tatizo lililopo mkuu ni kuwa watu hawa wamejenga mtazamo fulani vichwani, hivyo wanauleta humu wakidhani ndicho kilichoandikwa
 
Sasa uliona wapi mchungaji anakemea uzinzi na uasherati kwa wanawake tu na kuwaacha wanaume?? Huyo mchungaji si atakuwa mnafiki biblia inakataza uzinzi na uasherati kwa jinsia zote haijasema sijui nani anapata madhara nani hapati madhara hapana imesema tu kwamba uzinzi na uasherati ni dhambi

Na hicho ndicho kinachotakiwa kihubiriwe kwa watu wote wa mataifa tofauti na hapo huo ni unafiki na hata biblia hiyo hiyo imemuita mnafiki mtu ambaye anatoa boriti kwenye jicho la mwingine kabla ya kutoa kibanzi kwenye jicho lake mwenyewe sasa wewe tukikuita mnafiki unasema sijui sindano zinauma mara hatupendi ukweli sasa kati ya sisi na wewe nani hapendi ukweli??
 
Mbona jamaa kaongea vizuri tu sema wewe unauchukulia personal usingle mother wako. Jamaa alisema wale waliofiwa na wame Tao wanaweza kuolewa kwasababu kiapo cha ndoa kinakuwa hakipo tena. Sasa ukiachika na kuolewa wewe ni mzinifu tu na hakuna namna nyingine. Tukubali maonyo yanapotujia.
 
Mimi kuna mtoto wa mama Mkubwa wangu alidanganywa na mwanaume kuwa anataka Kumuoaa yule dada akasema bhasi tufunge ndoa kabla ya yote mwanaume akasema Nahitaji kukujua kwanza kiti ambacho kimekuwa common sana kwenye Jamii ya sasa hakuna mtu anataka aoe alafu baadae story za mtoto iwe vita... Duuh cster akabeba mimba huku mipango ya Sendoff na ndoa ishaanza na michango pia aisee Kuja kujuaa yule mzee ana Familia yake ya Watoto watatu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Can you imagine jambo kama hili limkute dada yako???? Yani yule dada isingekuwa kumuwahi tusingekuwa nae duniani aliona bora afe...lakini wazazi wakamtuliza mwisho wa siku akabaki kuwa Single mama wakati alikuwa dada mwenye maadili mazuri sana na msomi. So mwanaume asipoleta zengwe na kumkataa mwanamke hakuna SINGLE MAMA duniani tatizo wanaume minyege ikituzidi huwaga tunasahau kabisa kuwa kuna mimba kifatacho sasa ndo Single mama na watoto wa mtaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…