Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Sasa hilo swali muulize muumba usiniulize mimi maana yeye ndiye aliyeruhusu hii dunia ya sasa kuwe na ndoa zenye waume waovu na wake wema na zinadumu na vile vile ndoa zenye waume wema na wake waovu na zinadumu!!
Unaonaje ukanijibu pia hili swali biblia inasema "mshahara wa dhambi ni mauti" si ndiyo haya je ni watu wote duniani wanaokufa wanakufa kwa ajili ya dhambi zao na je sisi tunaoendelea kuwa hai ni kwamba ni watakatifu hatuna dhambi??
Yaani Mungu ameruhusu? Duh, basi sawa.
Habari ya mshahara wa dhambi ni mauti ni habari nyingine hiyo. Nafsi itendayo dhambi hakika itakufa, ndivyo maandiko yalivyo. Sisi tunaoishi bado hatujafika mwisho wa mwezi tukapokee huo mshahara, usichanganye mada.