Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Hawa wanaume wamekuwa watu wa ajabu sana,tena sana

Wanawake wapo tu wengi mtaani,wazuri na wavumilivu na wanaojua mapenzi lakini anawaacha anakimbilia wanafunzi ,halafu wanawapa mimba miaka 30 jela

Hiyo haitoshi,nimekutana na kaka mmoja analalama kwa mwenzake alivyo kwenye mahusiano na binti wa umri wa miaka 17 na anavyomnyanyasa

Huyo mwanaume anadai amekuwa kwenye mahusiano na huyo binti wa kidato cha Tatu ndani ya miezi 4 tu ametumia zaidi ya laki Tatu

Anasema mwanafunzi amekuwa akimuomba hela ya matumizi mara kwa mara,na amekuwa akimuomba amnunilie vitu vya gharama

Hata wakiwa 6 kwa 6 hapati ushirikiano wa kutosha na hudai amechoka mapema na siku ya kumpa mapenzi ni baada ya mwezi mmoja na huku kila siku anatumiwa SMS za kuombwa hela

NB.Nimegundua wanaume hawana akili,unamuacha single mother mtaani,wa kukupa mapenzi unavyotaka unakimbilia under 20 halafu unaanza kulalama kwa wenzio

Mtaishia gerezani wote, acheni wanafunzi, madada tupo wengi mtaani,tunajua mapenzi na unapewa bila ratiba,na matumizi yetu ni kidogo sana

Acheni maisha ya risk
Basi sawa njoo pm tuelewane
 
Hivi unadhani mlipoambiwa muishi na wanawake kwa akili mlikuwa mnataniwa eenh?? Anha endeleeni kujifanya vidume mnawajua sana wanawake kuliko aliyewaumba!!
Utapeli waa mapenzi, ngoja basi nikuambie. Mwnamume anayeoa kikweli atafuatilia background ya mchumba mtarajiwa. Hata kama amehama toka sehemu moja kwenda nyingine. Hiyo ndio ndoa, sio zoazoa tu. Kwa hiyo ni rahisi sana kuyajua hayo kuliko unavyofikiri
 
Mimi kuna mtoto wa mama Mkubwa wangu alidanganywa na mwanaume kuwa anataka Kumuoaa yule dada akasema bhasi tufunge ndoa kabla ya yote mwanaume akasema Nahitaji kukujua kwanza kiti ambacho kimekuwa common sana kwenye Jamii ya sasa hakuna mtu anataka aoe alafu baadae story za mtoto iwe vita... Duuh cster akabeba mimba huku mipango ya Sendoff na ndoa ishaanza na michango pia aisee Kuja kujuaa yule mzee ana Familia yake ya Watoto watatu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Can you imagine jambo kama hili limkute dada yako???? Yani yule dada isingekuwa kumuwahi tusingekuwa nae duniani aliona bora afe...lakini wazazi wakamtuliza mwisho wa siku akabaki kuwa Single mama wakati alikuwa dada mwenye maadili mazuri sana na msomi. So mwanaume asipoleta zengwe na kumkataa mwanamke hakuna SINGLE MAMA duniani tatizo wanaume minyege ikituzidi huwaga tunasahau kabisa kuwa kuna mimba kifatacho sasa ndo Single mama na watoto wa mtaani.
Dah ...
Too sad[emoji25]
Wanawake tunapitia mengi.
 
Hujanielewa wewe, mimi siongelei dhambi hapa. Hii sio thread ya kikristo ni ya wote. Sasa ninyi mmekazania dhambi, kwa mtazamo wenu. Anahehukumu dhambi ni Mungu tu, ila kukemea dhambi ni kazi ya mwanadamu. Kwa mantiki hiyo nitaendelea kukemea dhambi. Kuzaa nje ya ndoa ni dhambi, ukitubu utasamehewa lakini utaendelea kuwa na mtoto wa nje ya ndoa. Sasa chagua mwenyewe, uzae halafu uishi kwa mateso ama ujizuie uutunze usafi wako. Ukweli utabako palepale, mwanamke aliyenzaa kabla ya ndoa ni dalili mbaya kuhusu kujizuia.
Kwahiyo mwanaume kuzalisha bila ndoa siyo dhambi?? Na kama ni dhambi kwanini hauikemei wakati umesema wewe unakemea dhambi??
 
Mbona jamaa kaongea vizuri tu sema wewe unauchukulia personal usingle mother wako. Jamaa alisema wale waliofiwa na wame Tao wanaweza kuolewa kwasababu kiapo cha ndoa kinakuwa hakipo tena. Sasa ukiachika na kuolewa wewe ni mzinifu tu na hakuna namna nyingine. Tukubali maonyo yanapotujia.
Achaa upuuzi wewe Biblia yenyewe Imekiri juu ya Dhambi ya uasherati kwamba unataka kusema Mwanamke tu akiwa mzinzi ndo anaweza kuachwa ila Mwanamke hawezi kumuacha mwanaume muasherati???[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaliongelea kwenye comments?? Kama kweli una lengo wa kukemea na maovu ya wanaume kwanini usiyaanzishe nyuzi kula siku unaanzishia maovu ya wanawake unataka watu wakuelewaje??
Nimeshasema, wote waache zinaa, chastity ndio muhimu. Nimeliongelea uko nyuma
 
Siku ukinijua utashangaa. Nina mpango wa kujifunua humu jf wala sihitaji kujificha. Ngoja nimalize mabandiko yangu. Na pia kama mtu amefeli huoni kuna chakujifunza hapo? Shupaza shingo tu, kizazi cha nyoka kilichaharibika.
Kama umeoa na ndoa yako ina furaha nitatembea uchi Tz nzima.
Wewe jifunue jiweke wazi ili tujue ni mtu wa namna gani wewe uliyetumia theories mitandaoni kuoa na sasa unateseka.
Tutakushauri utapona tuu hiyo chuki ulionayo kwetu wanawake.
 
Achaa upuuzi wewe Biblia yenyewe Imekiri juu ya Dhambi ya uasherati kwamba unataka kusema Mwanamke tu akiwa mzinzi ndo anaweza kuachwa ila Mwanamke hawezi kumuacha mwanaume muasherati???[emoji23][emoji23][emoji23]
Leta Andiko ndugu maana unaonekana unayajua ili tuchambue wote.
 
Dah ...
Too sad[emoji25]
Wanawake tunapitia mengi.
Ilikuwa noma sana yani...!! Wanaume ndo chanzo cha yotee hao single mama wapo sababu ya Irresponsible fathers ambao walijua kumwaga tu shahawa na kusepa...[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Mimi mwenyewe mke wangu ningemwacha kipindi kile tumempata Junior angekuwa miongoni mwa Single mothers ambao leo hii ningekuwa mtu wa ajabu kushupaza shingo na kuanza kuwaponda lakini Noo nilikomaa nae kwa tabu na raha mpaka tukaja kutubu mpaka sasa rahaa tupu.
 
Makosa ni ya wote,lakini mwanmke ana disadvantage kubwa, kubali ama kataa huo ndio ukweli. Inachukua juhudi za mkuu wa mkoa kujaribu kuwafariji wamama wakati waliowazalia wannadunda mitaani. Tatizo ndio liko hapo usipofanya chastity
Hivi kwani huyo mkuu wa mkoa kaingiaje hapa maana naona umemkazania sana hata huyo naye ni mnafiki kama wewe tu hamna tofauti

Sasa mbona biblia haijasema hivyo kwamba mwanamke ndiyo aache zinaa kwa sababu yeye ndiye mwenyewe disadvantage?? Na kama haujaandika kibiblia umeandika kijamii basi hizo disadvantages za wanawake wewe zinakuumiza nini??
 
Leta Andiko ndugu maana unaonekana unayajua ili tuchambue wote.
Hii ni mathayo 19:9
Screenshot_20190911-085821_Swahili%20Bible.jpeg
 
Afu jiulize kwa nini mkuu wa mkoa ameshikilia kuwasaidia wamama waliozalishwa wakatelekezwa na sio wanaume
Nimekwambia huyo naye ni mnafiki kama wanafiki wengine tu ukiwemo na wewe na hata kama na mimi ningekuwa single mother nisingeenda kuandamana kwenye huo ujinga na wewe kwa akili yako unadhani yule anafanya vile ili kuwasaidia wale wanawake?? Pole!!
 
Pambafff kwani huwa wanazini na miti ama na wanaume? Una hakika gani kwamba baba yako alimuoa mama yako akiwa bikra? Muwe na staha basi wakati mwingine maana kuna leo na kesho binti yako anadungwa mimba na utageuka mshenga ili aolewe kulinda heshima ya familia!
Pozi la nini Singo Maza!
Mleta mada kaandika kipimo chake nawe kanusha au weka mapocho pocho..
 
Back
Top Bottom