Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Nanukuu hapo "mkitambua ya kwamba wao ni dhaifu" amewaambia ninyi ndiyo mtambue hivyo lakini yeye Mungu hatambui hivyo sasa kama wewe unadhani upeo wako wa kufikiri uko kama wa Mungu basi una tatizo mahali na unahitaji msaada
Halafu kumbe unajua kuwa mmeambiwa muishi na wake zenu kwa kuwahurumia sasa hiyo huruma mbona hamna matokeo yake mnasababisha single mothers halafu lawama mnawatupia wao maana mngekuwa na huruma msingekuwa mnazalisha na kuacha halafu kwa ujasiri mnakuja kusema kabisa eti "mwanamke asijilinganishe na mwanaume kwa sababu yeye ndiye anayeumia zaidi"
Halafu kumbe unajua kuwa mmeambiwa muishi na wake zenu kwa kuwahurumia sasa hiyo huruma mbona hamna matokeo yake mnasababisha single mothers halafu lawama mnawatupia wao maana mngekuwa na huruma msingekuwa mnazalisha na kuacha halafu kwa ujasiri mnakuja kusema kabisa eti "mwanamke asijilinganishe na mwanaume kwa sababu yeye ndiye anayeumia zaidi"
1PETRO 3
7 Kadhalika ninyi waume, ishini na wake zenu kwa kuwahurumia, mkitambua ya kuwa wao ni dhaifu na hivyo muwape heshima, kwa maana ninyi ni warithi pamoja nao wa neema ya uzima. Fanyeni hivyo ili sala zenu zisizuiliwe.