Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Mbona nilikuuliza Ni yapi hukuniontesha Tena.
Ukasingizia tu post hazina namba...nikakwambia tafuta unionyeshe,,haukunionesha..
Unadhani Mimi nitaota na kukisia maswali uliyoyauliza !??
Ntakujibu vipi maswali bila kuyaona hayo maswali!?
Sasa ulirudi ukaitafuta hiyo post ? Kisha ukawa hujaiona ?

Nilikwambia kwamba sioni namba ya post PM,kumaanisha kwamba ukitakiwa hujiongeze uitafute kisha ujibu maswali,lakini hujafanha hivyo.
 
Alimuoa kwa ndoa ya halali kabisa.

Ndio maana hakuna anaeweza kuonyesha mtume alibaka,nawapa miaka mia mlete ushahidi kwamba mtime alibaka.
Mbona unaongea mengine ambayo sijakuuliza Zurri.
Mtume yeye alikuwa na miaka mingapi kipindi hicho?
 
Kichwa chako KITUPU sana. Kuna sehemu hapo nimesema kuwa anavyofanya ni sahihi? Sijui umelelewa namna gani! Hapo namaanisha kuwa huyo mtu si mfano mzuri, kwa hiyo ni jukumu lako kumuepuka. Au ulitakaje, nikamchape?

Simshangai aliye kuacha na kitoto. Una shida nyingi sana kichwani
 
Nimekumbuka ile thread ya kipindi kile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Kauli hiyo kwetu imeonesha utatu mtakatifu. Na HUO NDIO UKWELI.
Mungu baba.
Mungu mwana= Yesu
Mungu roho mtakatifu.
Hapo Mungu alikuwa anapanga plan zake na roho zake.
Sasa na huko kwenye uislam hiyo " sisi" ni wakina nani? Ni utatu mtakatifu ambao hamtaki kuuamini au?
 
Umenitukania umetuliza.
Maana ni mpambano wa kupigania maadili huu.
Makahaba na maasherati yanatetea na kuubariki ubazazi wao waziwazi, shetwani ana wafuasi wengi sana kuliko tunaowafahamu!

Ujingaujinga 'kabila hiyo' ndiyo chanzo cha watoto wa mitaani wenye baba zao wasio na baba kuongezeka kila uchao!

Tena mada yako inafaa sana kuwa shamba darasa kwa vijana wanaotegemea kuanza maisha ya ndoa ili wasirukie magumegume kwa hadaa ya penzi motomoto. Hizo ni ghilba na wizi wa mapenzi wasiouelewa wengi.

Hakuna kosa kubwa kwa mwanaume kujenga msingi mbovu wa ndoa yako, maana waweza kujuta maisha yako yote hadi kufa na huku umevaa tai shingoni.

Hivi kijina shababi unajisahauje hadi ndoa yako ya kwanza unaanza na single mom!

Yote uliyoeleza mkuu, kijana akiyafuata akaanza nayo, dunia hii ataishi kama yupo ahera kwa ndoa yenye heri na heshima, ingawa vikwazo havikosi.

Nakuomba usikatishwe tamaa na majibu ya watu waliokwisha kukosa maadili tangu wakiwa tumboni mwa mama zao.
 
Sasa ulirudi ukaitafuta hiyo post ? Kisha ukawa hujaiona ?

Nilikwambia kwamba sioni namba ya post PM,kumaanisha kwamba ukitakiwa hujiongeze uitafute kisha ujibu maswali,lakini hujafanha hivyo.
Yaani Mimi ndio nitafute maswali uliyouliza!?.
Zurri uko serious kweli!??
Uliona wapi hiyo???
Hata shuleni huwa mwalimu anatunga maswali anatuletea darasani tufanye...ulishawahi ona wapi mtihani unaenda kufwatwa na mwanafunzi ili aufanye!???
 
Yeye anasema 'sisi' Ni" Mimi".
Hiki kiswahili walisom na mtume wao Muhammad's [emoji3]
 
Mbona unaongea mengine ambayo sijakuuliza Zurri.
Mtume yeye alikuwa na miaka mingapi kipindi hicho?
Sikumbuki alikuwa na miaka mingapi ila alikuwa na miaka mingi kumzidi mama Aisha.

Chukulia,kwamna alikuwa labda ana miaka 60 au 70, vipi ndio hitwa kubakwa huko ?

Kwanza tafuta maana ya tamko "Kubakwa" kisha uje kuajdili jambo ukiwa unalijua.

Lipi,hapo nimeandika ambalo hujaniuliza ? Jayo nimekuoa maelezo kwa mujibu wa swali lako.
 
Kauli hiyo kwetu imeonesha utatu mtakatifu. Na HUO NDIO UKWELI.
Nani wa kwanza kusema mambo ya utatu mtakatifu ?
Yaani Mimi ndio nitafute maswali uliyouliza!?.
Zurri uko serious kweli!??
Uliona wapi hiyo???
Hata shuleni huwa mwalimu anatunga maswali anatuletea darasani tufanye...ulishawahi ona wapi mtihani unaenda kufwatwa na mwanafunzi ili aufanye!???
Ule ulikuwa ni mjadala,na wewe ulikuwa hadhiri kwahiyo ulitakiwa uwe makini na mjadala. Huo ni uzembe wako,na hukutakiwa kuja kulalamika hapa.
 
Sasa na huko kwenye uislam hiyo " sisi" ni wakina nani? Ni utatu mtakatifu ambao hamtaki kuuamini au?
Nataka unipe maelezo hayo kutoka kwa Yesu kwamba Yesu amesema hivyo kwamba kuna mungu mwana,kuna mungu roho.

Weka andiko fasta tuokoe muda.
 
Nani wa kwanza kusema mambo ya utatu mtakatifu ?

Ule ulikuwa ni mjadala,na wewe ulikuwa hadhiri kwahiyo ulitakiwa uwe makini na mjadala. Huo ni uzembe wako,na hukutakiwa kuja kulalamika hapa.
Aliyelalamika Nani Kama sio wewe.
Wewe si ndio umesema Nina Deni..
Hivi Zurri ,umeanza lini kupoteza kumbukumbu hivyo!?
Marianah huyu benten wako Nina wasiwasi atakuwa na wenge la usingizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…