Sasa ulirudi ukaitafuta hiyo post ? Kisha ukawa hujaiona ?Mbona nilikuuliza Ni yapi hukuniontesha Tena.
Ukasingizia tu post hazina namba...nikakwambia tafuta unionyeshe,,haukunionesha..
Unadhani Mimi nitaota na kukisia maswali uliyoyauliza !??
Ntakujibu vipi maswali bila kuyaona hayo maswali!?
Nilikwambia kwamba sioni namba ya post PM,kumaanisha kwamba ukitakiwa hujiongeze uitafute kisha ujibu maswali,lakini hujafanha hivyo.