Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,333
- 7,879
Bebeshi nang'oo!! Yaani kweli amateurish assassins wawe na uwezo wa kuingia kwenye highly secured areas with a lot of cctv cameras kama lile kisha wafanye shambulio kwa kujiamini kiasi kiasi kile pasipo kuhofia kitu chochote?Hili hata mimi huwa nalikataa. Afisa wa TISS aliyefunzwa kuua kwa njia mbalimbali hawezi kumimina risasi zote hizo halafu ashindwe kuua. Naamini hii ni kazi ya amateurs tu wa kuokotwa huko mitaani na inaweza hata ikawa ni migongano ya kibinafsi tu, visasi na hata kiki na kujiongezea mitaji ya kisiasa.
Kama kweli ni mambo ya TISS hii basi tutakuwa na TISS ya hovyo kabisa na maafisa wake inabidi warudi mafunzoni upya. Kama hawawezi kuua mtu seating duck mchana kweupe asiye na silaha afadhali tu waache kazi waje huku Kolomije tulime mpunga [emoji16][emoji16]
Mkuu kitendo cha Lisu kusurvive pale zile ni kudra tu za Almighty one na sio uzembe wa wale wapigaji