Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Hivi kwanini unalazimisha tofauti kati ya mwanaume na mwanamke kwenye kila kitu??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi tags zisikutishe..
Anajua Kwanini namtag[emoji14][emoji14][emoji14]
Ila kuanzia kesho hutaziona Tena hizi[emoji3][emoji3]
 
Lakini mdogo wangu wewe si ulisema unapenda wanaume wababe?? Mimi wanaume wababe hapana kwa kweli huo ubabe wake aupeleke huko kwa wanaume wenzie watakaokuwa wananisumbua asiniletee mimi isitoshe mwanamke hapigwi kwa ngumi wala mateke anapigwa kwa vitenge na khanga tu!!
Nyie wasukuma si mnapenda ubabe kwenye kila kitu..yaani ubabe ubabe tu
 
Waingilia ndoa za watu hata mie napigilia msumari na nyundo kabisa, mwingine
kamponza mwanaye kakatwa mguu kwa ujinga wake
 
Sipendi mpole Sana Kama Mimi.
Nitamuonea...awe mbabe ila sio ubabe wa kutwangana magumi
 
Si kwa sababu wanaona 'hawana cha kupoteza' ndiyo maana wanakubali kirahisi wenyewe wanakwambia maumbile yanaruhusu eti sisi tusijilinganishe nao ila kinachoshangaza ni kwamba magonjwa hayachagui maumbile yanawashika wote na yanawaua wote kwa usawa!!
Kama kondoo vile unamswaga tu hakuna kutumia nguvu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi tags zisikutishe..
Anajua Kwanini namtag[emoji14][emoji14][emoji14]
Ila kuanzia kesho hutaziona Tena hizi[emoji3][emoji3]
Nifungulie PM nikuulize kitu [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]

Ng'ombe zangu 70 ndo naziaga hivyo dah. Bagosha [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nifungulie PM nikuulize kitu [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]

Ng'ombe zangu 70 ndo naziaga hivyo dah. Bagosha [emoji16][emoji16][emoji16]
Dah mzee wangu akiongeza na wake wawili watakuwa 72[emoji847][emoji847][emoji847][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7].

Niambie tu ..iko wazi
 
Mimi siyo mwanaharakati ila ni msemaukweli hasa kwa wanaume wasiojua wajibu wao mwanaume anayejua kupenda mbona mimi sina shida naye kabisa ila nimeshaolewa na sijaolewa na msukuma nimeolewa na wa kabila langu
Na wewe ni Mnyakyusa ama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…