Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Kuuona ufalme wa Mungu kazi kweli kweli.

Yaani ameamua kujiongeza kwa kuiba halafu anataka kwenda mbinguni!!!
 
😲 Umepita mulemule. Mpaka na mi najiuliza "singo maza mnakwama wapi!!!"
 
single mother watatu walishanithibitishia kwa vinywa vyao wenyewe, kwamba hakuna mwanaume ambaye atampenda zaid ya mzazi mwenzie... ukiulza kwann..!? anakuambia haelewi bali ipo hivyo tu... mwengine anakuambia siwezi kamwe kumuacha baba fulani... hao wamegombana wakaachana, wakapatana wakagombana, wakaachana, wakapatana... yaani hawa viwanja vya mgogoro 100% kabisa...
 
Hata awe fala kiasi gani
Ukiniibia milioni nitajua tu. Sembuse hela hadi kujenga

Tena kuweka hela account ya mtoto


Uongo mwingiiiiii

Mara mtoto Kenya
Siku hizi watoto wachache sana hupelekwa Kenya kusoma
 
POVU
 
Hata awe fala kiasi gani
Ukiniibia milioni nitajua tu. Sembuse hela hadi kujenga

Tena kuweka hela account ya mtoto


Uongo mwingiiiiii

Mara mtoto Kenya
Siku hizi watoto wachache sana hupelekwa Kenya kusoma
Toka nyumbani mpaka Kenya ni km 2, nimesoma Kenya, kwanini nishindwe kumpeleka huko, ukiibiwa milioni utajua kutokana na ukweli kwamba hiyo milioni ni kubwa sana kwako, Hebu fikria uibiwe shilingi 50, utajua kweli?
 
Ngoja wanaume wakupige mawe hapa dada japo umeongea point.
 
Sasa tz ina single mom wangapi mkuu, hao watatu waliokuthibitishia bado hai make sense kujumuisha wote
 
Sitajaribu kuoa single mom, hata nishikiwe mtutu wa bunduki.
Nitakuwa napiga tu kwa starehe zangu
 
Sasa tz ina single mom wangapi mkuu, hao watatu waliokuthibitishia bado hai make sense kujumuisha wote
kwangu mimi hiyo angalau inatosha kusema kuwa wengi wao wapo hivyo... maana haiwezekani ukutane na watu wote watatu wasiofahamiana kisha wakawa na mtazamo wenye kufanana.. wewe hali hii utaichukuliaje..?
pia naomba niweke sawa kwamba si wote ni wa hovyo.. ila wengi wao ni wa hovyo... ni wachache sana ni wenye kujitambua...
 
Sasa tz ina single mom wangapi mkuu, hao watatu waliokuthibitishia bado hai make sense kujumuisha wote
kwangu mimi hiyo angalau inatosha kusema kuwa wengi wao wapo hivyo... maana haiwezekani ukutane na watu wote watatu wasiofahamiana kisha wakawa na mtazamo wenye kufanana.. wewe hali hii utaichukuliaje..?
pia naomba niweke sawa kwamba si wote ni wa hovyo.. ila wengi wao ni wa hovyo... ni wachache sana ni wenye kujitambua...
 
Umetoa conclusion ya kifala sana. Huwezi kutumia ushenzi wa mtu mmoja kuwahukumu watu 20,000. Hiyo ni dalili kwamba kichwani hakuna kitu.
 
Molembe,
Umetoa conclusion ya kifala sana. Huwezi kutumia ushenzi wa mtu mmoja kuwahukumu watu 20,000. Hiyo ni dalili kwamba kichwani hakuna kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…