tuanzie hapa,
1. ulijuaje mzazi mwenzake yupo na familia pamoja na watoto..? ni dhahiri kwamba mchumba wako amekuambia kuhusu yeye
2. inakuaje mchumba wako ajue maisha ya mzazi mwenzake na familia yake, wakati walishamalizana hata kunyima mzazi mwenzake kumsogelea mtoto..? ni dhahiri kwamba hajamsahau mzazi mwenzake na bado anafuatilia maisha ya mzazi mwenzake...
3. kwanini aendelee kufuatilia maisha ya mzazi mwenzake na hali ya kuwa hawapo pamoja..? ni dhahiri kwamba anajali maisha ya mzazi mwenzake na ana wivu juu ya maisha ya mzazi mwenzake hasa kuhusu malezi ya watoto wa mzaz mwenzake na malezi ya mtoto wao, yeye na mzaz mwenzake,
hivyo tafakari kabla ya maamuzi muhmu utakayoyafanya... wapo wenye mapenz ya dhati na uhtaji mkubwa wa kupendwa...
mwisho moyo wa mtu ni kichaka...