Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Desire Dizaya, Unaposema kama angekuwa kazubaa, kazubaa katika lipi mkuu? Huyo mdada keshafunga ndoa hakupaswa kumuibia mumewe ili kuwekeza kwa mwanae maana kaolewa na aliyemuoa alikuwa anajua kuwa ana mtoto, sasa je siku mumewe akigundua kuwa amemuibia ili kuwekeza kwa mwanae huyo kitakachofata ni nini? Acheni kusifia ujanja wa kijinga hakupaswa kumuibia, awekeze kwa mwanae kwa kumshirikisha mumewe, kwani angemwambia mumewe kuwa anataka afungue account awekeze kwa huyo mtoto huyo mumewe angekataa jambo dogo kama hilo wakati amemuamini katika jambo kubwa la ndoa....amekosea amekosea sana anatafuta matatizo, akili gani ya kujiongeza katika ujinga huo
 
Unaposema kama angekuwa kazubaa, kazubaa katika lipi mkuu? Huyo mdada keshafunga ndoa hakupaswa kumuibia mumewe ili kuwekeza kwa mwanae maana kaolewa na aliyemuoa alikuwa anajua kuwa ana mtoto, sasa je siku mumewe akigundua kuwa amemuibia ili kuwekeza kwa mwanae huyo kitakachofata ni nini? Acheni kusifia ujanja wa kijinga hakupaswa kumuibia, awekeze kwa mwanae kwa kumshirikisha mumewe, kwani angemwambia mumewe kuwa anataka afungue account awekeze kwa huyo mtoto huyo mumewe angekataa jambo dogo kama hilo wakati amemuamini katika jambo kubwa la ndoa....amekosea amekosea sana anatafuta matatizo, akili gani ya kujiongeza katika ujinga huo
Anayesema amejiongeza unaweza kukuta nae ana akili mbovu kama za huyo binti mjinga.
 
Kwema jamani?

Moyo wangu umeanguka kwa mwanamke ambaye kazalishwa, na mzazi mwenzake alishaoa mwanamke mwingine pia ana familia yake. Hawajawai kuishi wote na hawana mawasiliano miaka 5 sasa.

Naombeni kujua changamoto za hawa wanawake nisije baadaye kuja kuomba ushauri mkasema wakati naoa mbona sikuomba ushauri.

Mtoto analelewa na bibi mzaa mama na majina ya ubini kapewa ya babu mzaa mama.
 
Jiridhishe mwenyewe kwa kuzingatia vigezo na masharti ndugu yangu.

Hicho ni kiwanja chenye migogoro ni ngumu sana kukijenga. Hata ukifika kwenye renta mgogoro hujui unapotokea.

Lasivyo utakuja kujuta mbeleni hasa utakapompenda zaidi alafu mgogoro ukaingia.

Muombe sana Mungu ili asibadilike mkaanza kuchomamana visu na magunia mawili ya mkaa au visu.
 
Hili la kupasha kipolo siyo tatizo sana maana liko chini ya asilimia 98. Sasa kuna hili la kukuibia pesa ili awekeze badae ya mwanae hili liko zaidi ya 99℅. Ila nalo siyo noma sana. Sasa kuna hili ambalo hata mimi sitaki kulisema maana hili ni tatizo asilimia 100. Hili ndugu hata mimi sitaki kulisema
 
Siwezi kufanya hivyo mkuu jamaa ana familia,watoto wake wataishije ?
tuanzie hapa,
1. ulijuaje mzazi mwenzake yupo na familia pamoja na watoto..? ni dhahiri kwamba mchumba wako amekuambia kuhusu yeye
2. inakuaje mchumba wako ajue maisha ya mzazi mwenzake na familia yake, wakati walishamalizana hata kunyima mzazi mwenzake kumsogelea mtoto..? ni dhahiri kwamba hajamsahau mzazi mwenzake na bado anafuatilia maisha ya mzazi mwenzake...
3. kwanini aendelee kufuatilia maisha ya mzazi mwenzake na hali ya kuwa hawapo pamoja..? ni dhahiri kwamba anajali maisha ya mzazi mwenzake na ana wivu juu ya maisha ya mzazi mwenzake hasa kuhusu malezi ya watoto wa mzaz mwenzake na malezi ya mtoto wao, yeye na mzaz mwenzake,
hivyo tafakari kabla ya maamuzi muhmu utakayoyafanya... wapo wenye mapenz ya dhati na uhtaji mkubwa wa kupendwa...
mwisho moyo wa mtu ni kichaka...
 
Back
Top Bottom