Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Toka umeanza kufanya mapenzi umefanya mara ngapi?

Je , ungekuwa mwanamke ukapata mimba ungeitoa?....

Angalia vigezo vyako kwa unauemuoa haya ya single mama ni mambo madogo kwangu naona.
Hatimaye mrejesho chanya wa kwanza. Hili swala ni gumu sana kila nikitaka kumwambia Singo maza wangu nakuoa nakuta mada mpya humu wakisemwa..... NAO NI WANAWAKE KAMA WANAWAKE WENGINE NA WANASTAHILI UPENDO PIA.
 
Hatimaye mrejesho chanya wa kwanza. Hili swala ni gumu sana kila nikitaka kumwambia Singo maza wangu nakuoa nakuta mada mpya humu wakisemwa..... NAO NI WANAWAKE KAMA WANAWAKE WENGINE NA WANASTAHILI UPENDO PIA.
Mtaani wanaolewa mkuu.....nadhani hii mentality sio nzuri....

Wanawake wanapata ujauzito kwa namna tofauti tofauti....laiti wanaume nasi tungekuwa tunabeba mimba haya yasingekuwepo.
 

Mengine ni juhudi zangu mimi mwenyewe katika harakati za kufanya upelelezi
 
Inamaana wanawake wameisha au? Mbona unatia aibu kijana. Au domo zege umeona ni rahisi kuwapata

Mechi inaanza 0-0 we uliona wapi mechi inaanza 1-0 raha ya mke kuoa mpate wote mtoto wa Kwanzaa wakwenu

Hata wazazi wako watakuwa wanakuskitikia tu wamekubali tu kwa vile maamuzi ni yako
 
Oa tu si wenyewe tulioa mabikra kwa sasa wanatutia jamba jamba nidhamu ya mtu kutulia kwenye ndoa ni matokeo ya halmashauri ya kichwa chake akiamua kuwa kivuruge anakuwa kivuruge tu hata kama ulimpendea kunena kwa lugha akiwa kanisani kwa Mwamposa.
 
Unatafuta kufa mapema wewe..
 
Mtaani wanaolewa mkuu.....nadhani hii mentality sio nzuri....

Wanawake wanapata ujauzito kwa namna tofauti tofauti....laiti wanaume nasi tungekuwa tunabeba mimba haya yasingekuwepo.
Na ni waelewa sana, hawana longolongo kabisa. Binafsi nawapenda na kuwaheshimu sana.
 
Oa tu si wenyewe tulioa mabikra kwa sasa wanatutia jamba jamba nidhamu ya mtu kutulia kwenye ndoa ni matokeo ya halmashauri ya kichwa chake akiamua kuwa kivuruge anakuwa kivuruge tu hata kama ulimpendea kunena kwa lugha akiwa kanisani kwa Mwamposa.

Msifanye hivyo jamani,kwaiyo hawa wanawake ni wakuliwa tu papuchi na kuachwa
 

Asante kwa ushauri mkuu,ni moyo tu umedondokea huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…