Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Hahaaa. Hapo chacha.

Hawajui ni sehemu ya maisha tu hiyo na sidhani kama kuna mwanamke ambaye amependa awe hivyo.
Hawawapendi wakati wenyeww ndiyo chanzo, wanaume wote wasipowatelekeza watoto wao kuna mtu atakua single mother?
 
Wanalimalizaje wakati wanawake hawataki kuolewa mapema badala yake wanakula ujana na kupatia huko ujauzito hatimaye wanakimbiwa
 
ktk ubora wako
 
Mkuu kwa sasa singo maza ni janga
 
Nifuatilie interview zina nini?

Ndio sababu huwa mnazishabikia ili mpate pa kusemea, sababu huwa wanaume hamkaukagi kwenye hizo interview.

Nimeelewa sasa mkuu.
lol umefikiria mbali
itapendeza wakitutoa akilini mwao
 
Sa sijui ananufaika nini.

Au ndio kapima kwamba nyuzi za uongo uongo hasa zikihusisha wadada wa jf ndio zinakubalika majukwaani.
Tatizo mkiambiwa ukweli mnaanza kujishutikia na kutaguta visingizio

Nenda jukwaa la mmu nimewachana ukweli wametoka povu zaid ya omo
 
Hatari sana hawa "Single Mothers", kwenye ndoa yako ikiingiliwa na hawa kupona bahati, sababu watamlisha maneno mke wako mgombane na kuachana, mke awe kama yeye, ogopa single mothers popote ulipo..
Singo maza ni tishio mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…