Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Nimechangia mada
Nafanya utafiti na mimi tayari nimejua wewe si singoma'..!

Nisaidieni natafuta singo mama hapa jf niweke ndani, huhuhuhuhh!

Shida mnaficha mpk hapo badae.
 
single parents wakiadimika humu j.f na mimi najitoa rasmi nawapenda sana mbarikiwe jamani.
 
wanaoshika namba moja huwa wanakuwemo tu,yani kwenye 10 watoke 9!!
ndo nipo nimeshika praize hapa natafuta kamba,bisibisi zipo mfukoni,ye naona kashika mwiko! ndo nakimbilia leki milango naona imefungwa itakuwa jilani kafunga
Loading...

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nafanya utafiti na mimi tayari nimejua wewe si singoma'..!

Nisaidieni natafuta singo mama hapa jf niweke ndani, huhuhuhuhh!

Shida mnaficha mpk hapo badae.
Ndiyo mimi singo maza Mkuu una lingine?
 
Hahaaa. Hapo chacha.

Hawajui ni sehemu ya maisha tu hiyo na sidhani kama kuna mwanamke ambaye amependa awe hivyo.
Tatizo wanawake wengi hawajielewi mumekalia mizinga mawigi na makucha kama majin

Mtakuwa singo maza mpaka mkome
 
Maandiko yameeanza kutimia kwamba ipo siku wanawake watalazimisha ndoa sio mm ni biblia
 
Back
Top Bottom