Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,272
vizuriSuluhisho la kudumu mhamie dunia nyingine tofaut na hii ya sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vizuriSuluhisho la kudumu mhamie dunia nyingine tofaut na hii ya sasa
Mabinti walau wanaishi kwa matumaini.huku mtaani sasa sijui tuwaitaje maana ni vibinti tu.. single binties😀
Tatizo wanaamini sana kauli za maandishi. Hahahaa.eti jf wamejaa single mama..hahaha ungejua wengi ni wake za watu poleee.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umeoneee. Utawaona na vimaswali yao ya hovyo hovyo kumbe wanahesabu idadi ya single mother.
Hebu watupishe sie.
Kwanini unawatetea singo maza hujui kama unafanya tatizo liwe kubwa zaidHuwa siongelei maisha yangu binafsi humu. Judge vyovyote utakavyo
Tena tabu zao sio ndogo mdogo wangu.vijana wanna tabu sana my dada.
Mi Niko kamili mkuu naona utafiti wako ni mhimu japo umegusa upande mmojaNiaje kamanda
Umeonaaee. Ili wazidi kuburudisha roho zao.Ha ha ha unawapa tu majibu wanayopenda kuyasikia
amiii kuwadanganya wavulana wa jf ni kama kusukuma mlevi.Tatizo wanaamini sana kauli za maandishi. Hahahaa.
Hiyo ni ripot ya sir kutoka londonDuh! Kwenye kila binadamu 10 kuna singo maza 7?
Bila shaka sam of zis singo mazaz ar men.
Huu ukweli hawatak kuusikiaMaandiko yameeanza kutimia kwamba ipo siku wanawake watalazimisha ndoa sio mm ni biblia
Siyo nimehama maada hapana nimekupa tu sababu kwanini singo maza wanaongezeka kila dakikaHahahaaa. Umeshahama mada lol.
Pande hizo wanasemaje mkuuFresh kaka vip
Asante kwa kunielewa nilijua utatokwa povuvizuri
mmmhpole ukifwata maandishi Yao utahisi wapweke ila ntakupa siri 90% ya wanawake wa jf wake za watu.
Hahahahaha hapo umeua kbs aiseeeMaandiko yameeanza kutimia kwamba ipo siku wanawake watalazimisha ndoa sio mm ni biblia
na shaka na utafiti wakopole ukifwata maandishi Yao utahisi wapweke ila ntakupa siri 90% ya wanawake wa jf wake za watu.
Huku tuko sawa.Pande hizo wanasemaje mkuu