zinc
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 1,391
- 1,068
Mbona miss chaga, agatha edward, mbitiyaza hujawataja?! Hampendani, mna makundi, na chuki kila kukicha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona miss chaga, agatha edward, mbitiyaza hujawataja?! Hampendani, mna makundi, na chuki kila kukicha
SamahaniMbona miss chaga, agatha edward, mbitiyaza hujawataja?! Hampendani, mna makundi, na chuki kila kukicha
Pole sana ewe single mazaHii chai, huo utafiti umefanyika lini na wapi?
Asante snPole sana ewe single maza
Vumilia, suluhisho linakuja umeambiwa
Bora umenisaidia kujibu mwaya.Samahani
Mbona we hujamtaja espy,sky,madam s,madam B, demi, kapeace,joanah ,husna na wengine weeengi. Yeye alitoa mfano kama wewe ulivyotoa Mkuu!!! Hiyo dhana ya chuki na makundi sii nzuri kabisa. Unawezaje mchukia usiyemjua jamani!!!
[emoji7] nimekupenda kweli, so brilliant, Comment yako imependeza zaidi. You are right kuhusu mtoa post huyo.[emoji28]Sa sijui ananufaika nini.
Au ndio kapima kwamba nyuzi za uongo uongo hasa zikihusisha wadada wa jf ndio zinakubalika majukwaani.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]OK single mother to be
[emoji122] [emoji122] [emoji122]Asante sn
Ahsante sana mkuu[emoji7] nimekupenda kweli, so brilliant, Comment yako imependeza zaidi. You are right kuhusu mtoa post huyo.[emoji28]
Cc. Emmyta
Anaelewa saaana tu mamy, ni vile tu kuna watu hawapendi amani!!!Bora umenisaidia kujibu mwaya.
Ubarikiwe. Sina haja ya kumjibu nadhani amekuelewa vyema lengo langu ni kutoa mfano kwa wadada 10 na si vinginevyo pia nadhani hajataka kunielewa.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134]Asante sn
Seems ushachezewa rafu za lutosha!Hili tatizo Tz in 10yrs or 20yrs to come itakuwa disaster kubwa sn.
Maajabu videmu havina akili. Vina leta nyodo. Ma men wana wadampu fasta.
At 20s to 35 huwa wanaona raha sana. "Wanasema Niko huru, sinabanwi, mambo ya kupangiana staki, nakula bhata hadi nachoka, club,nk"
At 40 yuko lonely balaa. Ana 4 kids, @from a different man. Hapa ndio patamu..
Weee waache tu. Nigeria & Kenya Wana andamana hawaolewi, Tz wanawake wanachezea wanaume. Subirini...kiama kinakuja.
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
dunia imeelemewa na wingi wa singo maza
Inasemekana palipo binadamu 10 kuna singo maza 7
Hata jamii forum kati ya wanawake 10 bas 9 ni singo maza
London kwa sasa iko mbion kuja na tiba mbadala ya kupunguza tatizo hili sugu ambalo kwa sasa limekuwa kubwa sana ulaya, america na afica hasa kwa kenya na tanzania
Wasomi kutoka chuo kikuu cha rumis huko america ya kusin wamesain waraka wa kumaliza tatizo hili
Msomi john cater amesema wako mwisho mwishon kuja na suluhisho la kudumu
LONDON BABY
Rafu men ndie anacheza siyo demu hapa Bongo. Huenda useme nime produce single moms wangapi??Seems ushachezewa rafu za lutosha!
Amiin. [emoji120] [emoji120] [emoji120]Anaelewa saaana tu mamy, ni vile tu kuna watu hawapendi amani!!!
Barikiwa na wewe mwaya!!!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134]
Nooo rafu za mahusiano ni two ways! Unaweza kujitoa kwa mtu upo serious kumbe yeye anacheza na mind yako tuu!Rafu men ndie anacheza siyo demu hapa Bongo. Huenda useme nime produce single moms wangapi??
Kweli, (Ni wote) matokeo yake Single mom anapatikana baadae.Nooo rafu za mahusiano ni two ways! Unaweza kujitoa kwa mtu upo serious kumbe yeye anacheza na mind yako tuu!