Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Hebu jamii ione, hiyo mipasho iko wapi? Mbona umeishiwa hoja umehamia kwenye nia ovu?
 
Ndugu upo kisiasa zaidi

Nauliza wanaobakwa nakuwa single mother
Kuna binti anakwenda kwa rafiki yake wa kike anakutana na ubakaji, huyu ametengeneza mazingira. Kuna binti anakwenda beach na rafiki zake anaingizwa kuogelea na beach boys anabakwa, huyu katengeneza mazingira.

Kuna binti anakwenda kisimani, anajikuta yuko peke yake anakamatwa kwa nguvu anapiga kelele bila msaada anabakwa, huyu ingawa angeweza kuepuka lakini kabakwa pasipo kutarajia.

Sasa nionyeshe siasa ni nini? Zungumzia uhalisia sio ukitakacho.
 
Je wakipatikana majambazi wawili...mmoja akasema alinishawishi mwenzangu.....je sheria itamwacha kwasababu alishiriki kwa kushawishiwa? Au watafungwa wote?
Kwenye mimba huo mfano wako hausadifu mazingira. Sheria ya Mungu wote wametenda dhambi na watategemea huruma ya Mungu. Kama ikitokea mimba mwanamume aweza kukataa, kukimbia ama vyovyote vile, mlezi ni mwanamke sababu mazingira pekee yanayokubalika kujenga familia ni ndoa. Nje ndoa ni kujitakia mateso tu kwa mwanamke. Hata sheria haimfungi sana mwanamume kwani hata kama atabainika, imemtaka kumpatia mwanamke peaa za matunzo ya mtoto kulingana na kipato chake.

Hivyo huo mfano hauna uhalisia
 
Je anayekwenda kanisani anabakwa njiani.....hususani vijijini
Anayekwenda kanisani huambatana na jamaa zake. Let me tell you some, binti anayelelewa katika maadili atakingwa na mazingira yote hayo ambayo ni ya kufikirika zaidi. Mimi nimekulia kijijini pia, kama ikitokea familia haiemdi kanisani kijiji jirani (parokiani) na anayekwenda ni binti tu, hukabidhiwa kwa familia jirani ambao wanakwenda huko ili awe chini ya uangalizi wao, sio kupuyanga tu. Kubakwa huwa ni mpaka mwwnamke atengeneze mazingira mwenyewe
 
watetea haki za wanawake jf bado wanaendelea kupambana huku. hizi nguvu mnazotumia kujibizana huku na wanaume mngewapa elimu wenzenu wawe makini wasizae bila mpango.[emoji119]
Nadhani ungemuambia mtoa mada kuwa hizo nguvu anazotumia kuwaponda single mothers angezitumia kuwaelimisha wanaume wenzie waache kuzalisha wanawake hovyo na kuacha watoto
 
Kuhangaika na watoto inatokana na hiyo status ya single mother ambayo ni ya kujitakia. Laana haimhusu mtoto maana hakufanya hiyo choice ya kuzaliwa na single mother. Mama ndiye alifanya hiyo choice, na consequences zinamhusu.
Hapo nimetolea mfano tu wa watoto wa single mothers wanaofanikiwa lakini sijatolea mfano wa single mothers wenyewe wanaofanikiwa wapo single mothers wanaofanikiwa wanaoteseka na watoto wao hadi wanakuja kufanikiwa sasa labda wewe ndiyo uniambie nini maana ya laana

Halafu naomba zingatia na hiyo aya yangu ya pili tafadhali
 
Hao ni watetea haki za single mothers. Wanawake decent wapo wametulia.
Inanikumbusha ule wimbo "Wanawake wazuriwazuri wameolewa yamebaki manung'ayembe yanahangaika".
Hii huwa ndiyo defense mechanism yenu siku zote
 
Naona sasa mnataka single mothers wengi waanze kusingizia kwamba watoto wao ni matokeo ya kubakwa
 

Ni mtazamo wako na unaruhusiwa kuandkika chochote so long no examiner nor judge to justify you're statement
 

Unamanisha kutembea peke yako nimakosa?
 
Sawa, usiwatie mimba, hilo pia zingatia sana. Lakini kwa ambao tayari wameshapata mimba msimamo wa waoaji ndio huu unaosomeka kwenye hii thread.
Usipowaoa wewe wengine watawaoa na ndoa zao zitadumu maana huku mitaani tunawaona kila mwezi wanaolewa na ndiyo maana mimi huwa nasema maneno ya humu mitandaoni siyo ya kuyatilia maanani sana halafu ni kama mnapiga kelele na mnapoteza muda tu humu kwa sababu hiyo jamii ambayo single mothers hawaolewi kabisa haipo na haitakuja kuwepo endeleeni kusubiri na mtasubiri sana
 
Ni mtazamo wako na unaruhusiwa kuandkika chochote so long no examiner nor judge to justify you're statement
Suala la kubajwa nimesema tangu mwanazo lipo kisheria, lakini kama binti amebakwa na akapata mimba, basi na aendelee kwatika Bwana, ajionyeshe kwa tabia yake njema na Bwana atampa mume. La akijiingiza kwenye tabia za uzinzi, basi atajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.

Kubakwa sio tiketi ya kupata ndoa, unless mbakaji akamatwe na alazimishwe kufanya hivyo kama binti ni bikira, which is Biblical.
 
Unamanisha kutembea peke yako nimakosa?
Kwa binti mwenye maadili, hawezi kuwa kwenye mazingira yatakayo mfanya awe target, hata wazazi wanaojali hawawezi kumweka binti yao kwenye mazingira kama hayo. Kumbuka umeongelea kijijini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…