Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,333
- 7,879
Ni kweli huwa mnakubali yeyote anayewatongoza?Tatizo ni mitazamo ya kipumbavu tu ya jamii, ati mwenye ndoa ni mwanaume hivyo yeye ndiye anayechagua ila mwanamke hachagui anatakiwa kukubali yeyote tu anayemtongoza.