Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,333
- 7,879
Hazina maana yoyote mbaya. Sema wakati naandika nilikuwa na imagine jinsi utakavyoipokea comment yangu.Sawa mkuu. Ila hizo emoji sijui kwanini zinacheka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hazina maana yoyote mbaya. Sema wakati naandika nilikuwa na imagine jinsi utakavyoipokea comment yangu.Sawa mkuu. Ila hizo emoji sijui kwanini zinacheka
Haswa, hili swala halina kanuni moja.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila twende mbele turudi nyuma hili suala la kutongoza ni sula mtambuka.
Kila mtu ana namna yake ya kimazingira ambayo anataka liwe.
gunia mbili za mkaa full stop ck hz hakuna kuumiza kichwa.
Mmmmh,sio kwamba ni kujitambua kwa mhusikaShow za kibabe huwa ni tiba sahihi katika kuzuia haya majanga
hapana mkuu,kwa uzoefu wa kuwa na nyie....mnapenda sana kupigwa hii kitu mpaka mseme asante.Wengine huwa wanawaonea aibu wake zao,na kuwapa show za kawaida bila kujua inahatarisha uhai wa ndoa.Mmmmh,sio kwamba ni kujitambua kwa mhusika
Usiandike kwa Sauti Hawa wanaume wa Humu watasikia