Kwahiyo mwanamke bikira anaweza akawa anajua staili zote bila kufundishwa??Hapana.
na pia ili hasiwe gogo hahitaji kulala na wanaume wengi au tofauti tofauti
nimeziona picha za huyo Lilian Kamazima akiwa na mtoto wake wa kiume lkn za Joshua hajaweka, kule Instragam ukweli binti hakumpenda Mwakasege badoMtoto wake wa kiume anayeitwa Joshua ndio alifariki.
Narudia kusema Mungu ni mwema siku zote.
Wanawake wa kileo sio watu wa kuwaamini kwa 100% inabidi uwe makini sana.
Samahani kama nitakuwa nimewaudhi dada zangu lkn huo ndio ukweli.
Tuwaombee sanaNi kweli kabisa, wanaume kuna mambo ambayo huwa hawawezi kuzungumza kama kuchapiwa, kitu ambacho kinawauwa ndani lwa ndani
Wanahitaji maombi sana
Wapi haposio mimi nasema bali mada letwa hapo juu yasema
Wapi hapo
namna matukio yalivyojipanga ndio huthibisha hiloWapi hapo
ha ha ha ha fursa zitakupita mkuuSiwezi staili hata moja
Sijakataa kuvumilia ugogo. Ukweli ni kwamba mwanaume anachohitaji ni utelezi tu. Hizo mambo za kutafuta style sijui mambo gani hazina umuhimu wowote kwa mwanaume.Kwahiyo mwanamke bikira anaweza akawa anajua staili zote bila kufundishwa??
Labda umfundishe wewe na kabla hajajua ni lazima uvumilie ugogo wake siku za mwanzo!!
Kwani idea ya style imeletwa na nani kama sio pressure za makundi ambayo ki msingi huwa hayapo wakati mnagegeda. Hata mkigegedana huko mmoja anapika chapati it's upon yourselfSiwezi staili hata moja
sasa umekataa nini na umekubali nini!Nakataa kifo Cha Joshua kusababishwa na Lilian kamazima kurudiana na mwanaume aliyezaa nae..ila nakubaliana na ujinga wa tamaa uliomjaa yule binti kwa kumuacha Joshua na kwenda kwa mtu mwenye mapesa mengi ikiwa alipokua ovyo Hana wa kumsaidia Joshua ndiye aliyempa support Tena kubwa mno.
R.i.p kijana wa mwakasege.
acha wivu, huyo dada ni mzuri kwa kweliMmh Hana uzuri wowote
Kwani masingle mother wote wako hivyo??namna matukio yalivyojipanga ndio huthibisha hilo
Amenha ha ha ha fursa zitakupita mkuu
Si kweli, huelewi chanzo cha uhuni na una mafundisho potofu. Hiyo no roho ya uhuni na ukahaba. Kizazi hiki kimepofushwana ndio maana kinaishia kuongeza saizi n.k. Ziko sababu za msingi kwa nini mwanamke awe hivyo unavyodhani kila mwanamke anapenda kufanyiwa. Chunga sana unapotaka kuoa, je unaoa mke wa ndoa au ndio unajiunga na kundi la wengi la bora liende!?Kwenye yale mambo mkuu,inabidi uwe muhuni tu.....hata kama unahubiri injili,injili weka pembeni kwanza.
Wala sijamaanisha hilo ulisemalo, nilipotolea mfano wakukaa kama gogo ni kujibu hoja ya kuridhika kwa mwanaume, mengine niprogramming tu. Unadhani kwa nini mwanamume anabaka na anaridhika? Kiuno ni mambo ya maboresho tu, na wanawake wengi wanajua hiyo art. Tofauti inakuja pale mnapoanza kudai kukunjana kama mkizi, ama mara kichwa chini miguu juu, mara sijui popo kanyea nini n.k. hayo mambo ni mind programming tu, wala hayana uhalisia. Mwanamke ana namna yake natural ya kushughulika na mwanamume kadhalika.Aisee basi kama nawaona asilimia 80 ya wanaume wote duniani walivyoharibika akili maana karne hii ni mwanaume gani anayependa mwanamke anayekaa kama gogo kitandani (kwa mujibu wao)
By the way nikipata mwanaume asiyependa hayo mastaili ya kikahaba nitamshukuru Mungu
Haha pole mkuu kwahyo mwamba alikuwa anajifanya ana mapenzi ya kihindiWrite your reply...kama angekuwa siyo yule single mother tusingemzka muhuni wetu cheddi mapema vile
Sasa kama hazina umuhimu kwanini wanaume wanazihangaikia sana na inaonesha wao ndiyo wanazihitaji sana??Sijakataa kuvumilia ugogo. Ukweli ni kwamba mwanaume anachohitaji ni utelezi tu. Hizo mambo za kutafuta style sijui mambo gani hazina umuhimu wowote kwa mwanaume.
HayaKwani idea ya style imeletwa na nani kama sio pressure za makundi ambayo ki msingi huwa hayapo wakati mnagegeda. Hata mkigegedana huko mmoja anapika chapati it's upon yourself