Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Nawapenda mno single motherz ila napenda niwaibie siri;
1. Ukipendwa ukapenda. Zidi kupenda usirudi nyuma.

2. Mtu akikuoa, mjue amepuuza maneno mengi sana kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki.

3. Ukikubali kuolewa, hakikisha haupashi kiporo kwa baba wa mtoto wako. Lasivyo ukigundulika visu, risasi au gunia za mkaa zitawaamua. Maana Ibirisi wa sasa kwa wanaume hana msamaha kabisa.
- Ijue thamani yako baada ya kuachwa na baba wa mtoto wako.

Sizijui changamoto zenu ila nimewashauri hayo tu.
 
Habari za jumapili ndugu zangu.

Kumekuwa na wimbi kubwa la kutokuolewa wanawake waliozalishwa na kukimbiwa na wanaume kutokana na sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na wanaume wenyewe walowazalisha wanawake hao kuogopa majukumu ya kulea.

Kutokana na observation yangu niliyofanya nimegundua kwamba single mother wanazo sifa karibu zote za kuolewa ukilinganisha na wale ambao hawana watoto, nadhani hii ni kutokana na experience waliyoipata baada ya kuzalishwa hivyo automatically akili zao zinatulia,ila sasa kuna sababu kuu mbili ambazo nadhani ndizo zinazofanya washindwe kuolewa.

Nambari moja ni kwamba wanaume wanaogopa kwamba akioa single mother ipo siku atasalitiwa. Pili,Jamii inamchukulia single mother kama mwanamke malaya asiyejielewa au kujiheshimu, hii hupelekea wanaume wengi kuacha kuoa single mother kwa kuogopwa kusemwa na watu.

My take. Tuwaheshimu single mother, hatujui waliyopitia.
 
Mi naona point ni hii

Haiwezekani kuoa mwanamke tayari kashazalishwa na mwanaume mwenzio raha ni kwamba wote muanze moja wote mpate mtoto wenu wa kwanza mechi zenyewe zinaanza 0-0 tangulini mpira ukaanza 0-1 haya mambo ya watoto baba tofauti ni uboya


Halafu mnaotia mimba mkakimbia acha uboya yaani tuoe familia yenu mnavyokimbia mnataka waolewe na nani
 
Noted.Umeongea vyema sana mkuu bimafsi nimeipenda sana hiyo point yako ya mwisho, wanaume tuacheni kukimbia majukumu sio poa.
 

Point no2 nakazia


Cc Kingsmann
 
Shida yao ni uwepo wa single fathers wao! Wakiwa wamekufa then ni wa kuoa haraka!
Kwahiyo mkuu ukikutana na mwanamke ambaye amekidhi vigezo vyako vyote vya mke unayemtaka lakini akiwa single mother utampotezea pia?
 
Wasingekuwa single mother.

Mwanamke anayekubali kuzaa na mtu ambaye siyo mume wake hawezi kuwa wife material
 
Lakini mkuu single mother wengine wamekimbiwa na wanaume ambao walikuwa wanaishi nao au hao tunawaitaje?
Wasingekuwa single mother.
Mwanamke anayekubali kuzaa na mtu ambaye siyo mume wake hawezi kuwa wife material
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…