Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Ni kweli ni ukosefu wa akili kusema wana mattizo
mkuu, unachobishi ni kitu gani? acha kuita wanaume kuwa wana ukosefu wa akili. tumia lugha ya staha.

cha msingi toa ushauri wako juu ya mada iliyomezani basi, sio kutoa matusi dhidi ya wachangiaji wengine.

samahani kama nimekukwaza.
 
mkuu, unachobishi ni kitu gani? acha kuita wanaume kuwa wana ukosefu wa akili. tumia lugha ya staha.

cha msingi toa ushauri wako juu ya mada iliyomezani basi, sio kutoa matusi dhidi ya wachangiaji wengine.

samahani kama nimekukwaza.

Samahani Kama umekwazika
 
Nakazia tu...oa single mother kama ni mjane...maana huyu hana mwenyewe.. kama sio mjane minya minya na kuonja Kisha kanunue furesh 😈😈😈
 
Mods futeni huu Uzi unaiumiza Sana familia nimeongea na mch mwakasege mwenyewe amenithibitishia kuumizwa Sana huu Uzi naomba mods muwasiliane na mch mwakasege muone msimamo wake mthibitishe otherwise ufuteni plz mods tujali hisia za familia kwa mpendwa wao.
 
Mbona akina magufuli,kikwete,mbowe,zitto etc wanaandakwa sana jf kwa mazuri na mabaya ila jf hawafuti
 
Mkuu Mwl Mwakasege simpati kwenye cm yake nipm no yake active.
 
Sio rahisi single mother kuachana na mzazi mwenzake kwa asilimia Mia moja

Just know this.
 
sheremaya,

mimi nakushauri, acha kujaribu ndoa! ukiingia uko, hutoki, nenda kajitafutie kabint kazuri kazarishe wewe, lazimisha alafu uje upate misukosuko na utakuja kumbuka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…