DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Kwamba samaki mmoja akioza basi wote wameoza ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo umempigia Mwl Mwakasege kumuambia kuna uzi umeandikwa humu au... Kweli we kilaza sanaMods futeni huu Uzi unaiumiza Sana familia nimeongea na mch mwakasege mwenyewe amenithibitishia kuumizwa Sana huu Uzi naomba mods muwasiliane na mch mwakasege muone msimamo wake mthibitishe otherwise ufuteni plz mods tujali hisia za familia kwa mpendwa wao.
Yule Mwanamke ana tamaa sana, na mama yake anamuunga mkono.
Kweli Mkuu hawa mabinti ni shida, ukimkuta anadanga huko burka mpaka majengo juu daah, kwenda Dsm ndio kabisaa.Watoto wa majengo hawaoleki ni vicheche hatari,istoshe familia yao mama ndio mwenye pesa
vipi yamewahi kukukuta?Hapo kwenye “USHAURI” sidhani kama kunahitaji kupepesa macho,edit pale juu andika "HAKIKISHA KWANZA KWAMBA MZAZI MWENZAKE KAMA AMESHAKUFA NA ISIWE KWA MANENO TU HATA CHETI CHA KIFO DAI UONYESHWE ILI UTHIBITISHE".
Singo mama ni makombo ambayo hayafai hata kuangalia naandika haya atakaechukia na achukie ila ndiyo ukweli wenyewe.
link unayo??Kwenye semina ya Ndoa Mwakasege na Mke wake waliongea kimafumbo kuhusu kijana wao
Yule mama alipoanza kuongea aisee Wanawake waliokuwa kwenye semina walilia sana.
Joshua alikuwa anaogopa kusema yanayomkabili kwasababu alishavulia maji nguo.
Hapana Mkuu, link sinalink unayo??
Mbna wa kawaida tu?? Joshua alikwama wapi?Huyu mtoto si wa Joshua, jamaa alimuoa akiwa tayari keshazaa na Mwanaume wake wa zamani.View attachment 1239108
Serious? Are you serious?Kwa kauli hii Joshua alikuwa na moyo mgumu sana. Ningekuwa mm, ningezimia na kufariki muda huo huo. Inaumiza sana.
Singo maza ni mwanamke aliyekosa maadili toka tumboni kwa mamake, ndiyo maana akazaa kabla ya ndoa. Baharia unaanzaje kumuoa???
Hata Siku moja usijaribu kuandika/kusema hivi mbele ya umma ..tena futa hii kauliKifo cha kizembe kabisa, ningekuwa mwl. Mwakasege nisungefanya matanga aisei.
Umekurupuka, Mwakasege hana kanisa ni muumini kama waumini wengine.Etii ooh usimchunguze mwanamke ndo mnaishia kufa na stress we chunguza tu haeleweki piga chini mtumishi anaowa vipi single maza asee wakati kanisani kwa baba yake kondoo kibao wazuri.
Nilikuwa najiuliza swali kama lako aiseeJamani,jamani,jamani yaani huyu kenge ndio mnamwita MZURI? wengine wamesema kabisa MZURI SANA?. Basi mimi nitakuwa siwajui mademu wakali. Kweli huyu ana sura pana ka ungo huyu ndio mkali?
Na hii ni kwasababu hata wanaume wa kileo wengi hatueleweki, wewe usimpomuamini mwenza wako unategemea yeye akuamini? Kwa staili gani? Mkuu upo na mpenzi na hujiamini wewe kama wewe matokeo yake hutomuamini na yeye kwa matendo yako ya kutokumuamini atatafuta njia mbadala mapema kwamba lolote likitokea awe ana backup hivi ndivyo wengi huishi.Narudia kusema Mungu ni mwema siku zote.
Wanawake wa kileo sio watu wa kuwaamini kwa 100% inabidi uwe makini sana.
Samahani kama nitakuwa nimewaudhi dada zangu lkn huo ndio ukweli.
Baba una roho ngumu, mfano hakuna, Mungu anakuona!Ukitaka kuoa single mother hakikisha baba wa mtoto amekufa na kaburi lake umeliona