ukikuta watu humu wanashauriana kupata watoto bila ndoa na ukirudi humu tena unakuta watu hawataki single mothers. Jf [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
tukiwaambia msioe hamtaki kusikiaHichi ndicho kinachowapa kiburi wanawake. Wanawake wengi wanauliwa kwasababu ya midomo michafu mfano yule jamaa aliyempiga risasi mkewe, aliyemuua mhadhiri wa chuo kikuu na jamaa aliyemchoma mkewe gunia mbili za mkaa. Mwanamke anadharau na kiburi na hayupo kiumbe chochote kinachomfikia mwanamke kwa dharau na kiburi. Upo naye ndani anakutukana + kukuchamba + anakuonesha dharau na kiburi na ukimwambia acha anakuambia utanifanya nini wewe mwanaume suruali? Sasa hapo awe ana kazi yake inayomuingizia pesa na awe na mchepuko nje. Aise kama una roho nyepesi lazima uue mtu na yote anayofanya kwasababu kuna kuna sheria inamlinda na akienda kukushitaki tu wewe unawekwa selo bila hata kujitetea. Kwanini tuhangaike na hayo yote "Lazima tuchague wanawake waelewa". Ukimuona haeleweki unapiga chini sababu NDOA NI YA MWANAUME
Binadamu wazito mkuuukikuta watu humu wanashauriana kupata watoto bila ndoa na ukirudi humu tena unakuta watu hawataki single mothers. Jf 😂😂😂😂
Jf kunapunguza sana stress🤣🤣🤣Kiwanja chenye mgogoro😀😀.
Jenga tu mkuu,
Sasa hivi hajaolewa baba wa mtoto katulia, akisikia tu kaolewa anaanza.
Wanazalishwa, bila mwanaume kuacha mbegu mle ndani hawawezi kuzaa, why lawama kwa mmoja?Basi basi babe.
Lakini nikwambie kitu?
Waambie wenzio wawage makini basi sio kuzaa nje ya ndoa...
Mkuu kwa heshima zote; alipata pregnancy ndio akawa pregnant. Pregnant ni huyo mwanamke mwenye mimba, pregnancy ni mimba.inaonekana alipata pregnant kwa bahati mbaya
mimi kuoa ni BIG NOKuoa lazima tuoe lakini lazima uchague mwanamke muelewa.
Kama unataka awe mke mlipie ila kama hutaki awe mke usilipe.Wakuu habari
Nahitaji ushauri je taratibu zikoje kabla kufikia ndoa na single mother je natakiwa kulipa mahari kwa single mother?
HahaaahHakikisha anatamka mwenyewe,wajomba wanatupiga sana siku hizi.
SidhaniNgoja waislamu watujibu , hivi mtume alilipa mahali kwa single mother bi hadija?
Ndio