Sadock Kabuko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2013
- 1,166
- 1,075
Kwani yeye sio mwanamke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maelewano yenu ila inabdi ukawapoze wazazi wake unawapa hata nusu nusu unakausha,
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hata mimi kuolewa na single dad naona ni ujinga...yaani kama yule dada mzuri alimzalia mpaka na mtoto na bado alimshindwa mi ntamuwezea wapi sasa...#SayNoToSingleDadies#
Tunaomba mrejesho wa yule mjeo aliekuacha usiku wa manane
Umeandika kama mwananchi mwenye hasira kaliWewe ni mpumbavu
Kama kathubutu kutamani mtoto wa mke wake ambaye ni mtoto wake atashindwaje kutamani mtoto wa rafiki yakeFikiria tu mtoto wa rafiki yako wa karibu unaweza kumtamani?
Kuna mambo kuyaongelea ni kama kuanzisha mada ya ushoga kwenye kikao cha familia.
Sisi wakristu tunaambiwa usihukumu usije ukahukumiwa na ile Golden Rule inasema Usimfanyie mtu kitu usichotaka ufanyiwe wewe.
Sasa imagine wewe mwanaume unayesema haya ( nashauri ukae kimya maana hujui kesho yako) unabarikiwa watoto 4 wakike woote.
Alafu kila mmoja anazalia nyumbani kwako, na uliwahi kusema anayeoa single mama ni mjinga!
Anyways.
Kila mtu ashinde mechi zake!
Hii kauli imenihuzunisha sana kweli tenaKwa maana hiyo hata watoto wa kiume wanaolelewa na hao wanaojiita "single mother" mwishowe huwaiga tu mama zao kwa kupandwa na "mababa", matokeo ni ushoga tu.
Mkuu jiwe halijanigusa lakini haya mambo mimi huwaga naogopa sana kuyapapatikia [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nikifika uzeeni huko ndio ntakua na uwezo wa kuropoka.Mkuu mbona povu sanaa funguka Kama jiwe limekupata [emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
inversely proportionKwaio mleta mada anaogopa single mother mwenye mtoto wa kiume maana akifikisha miaka 18 huyo mtoto anaweza kumtatua marinda huyu mleta mada hahaha
Mkuu jiwe halijanigusa lakini haya mambo mimi huwaga naogopa sana kuyapapatikia [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nikifika uzeeni huko ndio ntakua na uwezo wa kuropoka.