Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Kinacho matter Sana ni Sababu ya Yeye kuwa Single Mother ?
Ni Mara Mia Sababu iwe ni kifo cha Mumewe
Sababu Nyingine Kwa tulio wengi ni Ngumu kumeza aisee
100% ukweli.
Huwezi kuoa kirahisi kwa kujua kabisa jamaa yupo hai na anamtembelea mzazi mwenzake...lazima uwe na presha tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokuwa na Imani ya dini inaleta Mambo km haya.Kuna Imani inasema hujui nani atakusaidia maishani.Inawezekana mtoto wa nje akakusaidia kuliko wa ndani. Usiogope owa yule umpendae
Nimekuogopa yaani we acha tu. Nioe kisa kuutazamia msaada kutoka kwa mtoto wa mtu mwingine?? Kweli watu mmeamua kuchizika kabisa. Alokwambia huyo mtoto ataacha kumtafuta babake nnani?? Kwanza utakavyo mpa pendo ndio kwanza anadhani kuwa babake angempenda zaidi sana kuliko weye. Tena atakuona kuwa weye ka sio mamake hata hufai kitu.
 
Nimekuogopa yaani we acha tu. Nioe kisa kuutazamia msaada kutoka kwa mtoto wa mtu mwingine?? Kweli watu mmeamua kuchizika kabisa. Alokwambia huyo mtoto ataacha kumtafuta babake nnani?? Kwanza utakavyo mpa pendo ndio kwanza anadhani kuwa babake angempenda zaidi sana kuliko weye. Tena atakuona kuwa weye ka sio mamake hata hufai kitu.

Nina mashaka na umri wako watoto wengi wa hivyo huwa wanawajali Sana wazee wao
 
Nina mashaka na umri wako watoto wengi wa hivyo huwa wanawajali Sana wazee wao
Mimi nina mashaka na kuelewa kwako. Unasema watoto wengi wa hivyo huwajali sana wazee wao??? Yaani amfahamu babake mzazi asimheshimu akuheshimu weye kisa unalala mamake?? Nimewahi ona; Mmama singeli akitoka na X wake mbele ya wanaye na mumewe.
Single mum weka mabli sana na utu
 
Mimi nina mashaka na kuelewa kwako. Unasema watoto wengi wa hivyo huwajali sana wazee wao??? Yaani amfahamu babake mzazi asimheshimu akuheshimu weye kisa unalala mamake?? Nimewahi ona; Mmama singeli akitoka na X wake mbele ya wanaye na mumewe.
Single mum weka mabli sana na utu

Acha uchoyo Lea watoto na mama yao, hujui kesho yako.
Uelewa wangu Ni mzuri kiasi naweza vuka barabara na kwenda chooni tuuu unanitosha.
 
Mimi nina mashaka na kuelewa kwako. Unasema watoto wengi wa hivyo huwajali sana wazee wao??? Yaani amfahamu babake mzazi asimheshimu akuheshimu weye kisa unalala mamake?? Nimewahi ona; Mmama singeli akitoka na X wake mbele ya wanaye na mumewe.
Single mum weka mabli sana na utu
Noma sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuogopa yaani we acha tu. Nioe kisa kuutazamia msaada kutoka kwa mtoto wa mtu mwingine?? Kweli watu mmeamua kuchizika kabisa. Alokwambia huyo mtoto ataacha kumtafuta babake nnani?? Kwanza utakavyo mpa pendo ndio kwanza anadhani kuwa babake angempenda zaidi sana kuliko weye. Tena atakuona kuwa weye ka sio mamake hata hufai kitu.
Noma sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom