Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana!100% ukweli.
Huwezi kuoa kirahisi kwa kujua kabisa jamaa yupo hai na anamtembelea mzazi mwenzake...lazima uwe na presha tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida kubwa kwa hawa watu na ambayo watu wengi wanaiogopa ni pale unapoamua kumuoa halafu kesho unakuja kumkuta na baba watoto wake sehemu wanakula story au unagundua kuwa wana mawasiliano ya siri,hakuna mwanaume mjinga wa kiasi hicho...Kwa hiyo wanaooa single mama hawana akili? Muda mwingine unaoa mama lakini unakuwa daraja kwa mtoto aliyetelekezwa na baba yake.
Mimi nafikiri ungesema wanaume wanaoacha wazazi wenzao kwa sababu zisizo na mashiko hawana akili kwa sababu hawana huruma kwa kiumbe walichokitengeneza, kidogo ningekuelewa.
Huyu single mama ameacha na mzazi mwenzake lakini bado hajasusa mtoto, yupo nae bega kwa bega kumpa kidogo alichonacho, kweli kumuoa mtu wa namna hii mtu awe amekosa akili!
Kuwa serious mkuu, au sema wadada tunaoolewa na wakaka waliowatelekeza wanawake wenye watoto hatutumii akili. Tutabisha [emoji28] lakini itakuwa afadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nipo...Kwa hasira kama kuna single mama aliyeachwa kwa kukomolewa aje leoleo naoa serious..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata bila sababu ya mtoto, unaweza kupata mtu ambaye bado ana mambo mengi sana. Akathubutu kuleta hadi watoto ambao sio wa damu yako lakini akakudanganya. Hizi mambo hizi acha tu, ni kufuata misingi ya dini tu ndiyo itakayotulinda.Shida kubwa kwa hawa watu na ambayo watu wengi wanaiogopa ni pale unapoamua kumuoa halafu kesho unakuja kumkuta na baba watoto wake sehemu wanakula story au unagundua kuwa wana mawasiliano ya siri,hakuna mwanaume mjinga wa kiasi hicho...
Mimi nadhani anayezalisha ovyo ovyo kama kuku huko nje ndio amekosa akili kabisa, anazaa hata hana habari na watoto aliowazaa, haoni huruma kwa uzao wake kuzagaa ovyo ovyo huko, huyo ndio hana akili kabisa.
Mara nyingi unapokuwa na mwanamke, kama anakupenda au anakuhitaji katika maisha yake, lazima kuna mbinu atatumia ili kukunasa na mojawapo ni kutega ili anase mimba yako, kuwa makini hasa kama huoni anaweza kuwa mama wa watoto wako.
Nilishawahi kumpa mdada zile dawa za 72hrs kwa sababu niliona hawezi kuwa mama wa watoto wangu na niliingiza mabeberu wote kipindi cha hatari. Nilimpa na kumsimamia azimeze mbele yangu, she was so mad at me lakini alielewa.
Hahahahh! Shida yako ni pesa au mume....?mkuu nipo...
single mama wa watoto watatu...
vipi nikupe Mpesa unitumie mahari yangu kabisa.
Shida kubwa kwa hawa watu na ambayo watu wengi wanaiogopa ni pale unapoamua kumuoa halafu kesho unakuja kumkuta na baba watoto wake sehemu wanakula story au unagundua kuwa wana mawasiliano ya siri,hakuna mwanaume mjinga wa kiasi hicho...
Nakuona ka mamahuruma vile!! Dah! Yaani miye tu ndo natakiwa kutokujua kesho yangu. Aliye wazaa yuko huko anastarehe zake na kuendelea kuongeza wengine mimi ndo wa kulea?? Halafu kesho mtoto anatoboa ndipo wanamwonesha kwao si ndio?? Pole sana. Miye siwachukii hao watoto kwani nawalea tu ka mayatima ila asinichukulie poa.Acha uchoyo Lea watoto na mama yao, hujui kesho yako.
Uelewa wangu Ni mzuri kiasi naweza vuka barabara na kwenda chooni tuuu unanitosha.
ni kweli kabisaKinacho matter Sana ni Sababu ya Yeye kuwa Single Mother ?
Ni Mara Mia Sababu iwe ni kifo cha Mumewe
Sababu Nyingine Kwa tulio wengi ni Ngumu kumeza aisee
Tema mate kijana chini wewe usiongee kabisa iyo kauli
Pole sana,usikate tamaa endelea kumuomba munguMtoto amenikosesha mume[emoji1437]
Niozeshe uyo dada yako mwenye kujiweza kiuchumi 😎Hawa viumbe wakuitwa single mother wana shida kubwa sana wanazopata kisaikolojia, ni wajibu wetu kama jamii kuwapambania, nimeshuhudia haya kupitia my blood sisters, both of them are single mothers, mostly of the time they acting like they're okay lakini ukiwaangalia unaona kabisa kuna kitu wanapambana nacho kwenye mioyo yao, both of them wapo successful kiuchumu na lakini haibadilishi ukweli kuwa kuna kitu wanamiss kwenye maisha.
Nakuona ka mamahuruma vile!! Dah! Yaani miye tu ndo natakiwa kutokujua kesho yangu. Aliye wazaa yuko huko anastarehe zake na kuendelea kuongeza wengine mimi ndo wa kulea?? Halafu kesho mtoto anatoboa ndipo wanamwonesha kwao si ndio?? Pole sana. Miye siwachukii hao watoto kwani nawalea tu ka mayatima ila asinichukulie poa.
Kamwe sitakaa niweke tumaini kwa mtoto wa mtu
Unaamini sisi wazalishaji hovyo watoto na kutokuwahudumia kwa chochote huwa wote tunafikiria mtoto akitoboa kimaisha tutamfata kwa namna moja ama nyingine?Nakuona ka mamahuruma vile!! Dah! Yaani miye tu ndo natakiwa kutokujua kesho yangu. Aliye wazaa yuko huko anastarehe zake na kuendelea kuongeza wengine mimi ndo wa kulea?? Halafu kesho mtoto anatoboa ndipo wanamwonesha kwao si ndio?? Pole sana. Miye siwachukii hao watoto kwani nawalea tu ka mayatima ila asinichukulie poa.
Kamwe sitakaa niweke tumaini kwa mtoto wa mtu