Mimi ni Mwanaume.
Kwanza lazima Ujue Mtoto aliyezaliwa hana kosa , na hakulazimishwa kuja dunian, Bali aliwekwa tumbon ,ila kwa namna moja nanyingine Walomleta wakaachana,...
IVI UNAJUA UCHUNGU WA MWANA AUJUAYE NI MAMA YAKE nasio Mwanaume??? .
Ndio keshazaa, ulitaka amtupe?? Yaan maumivu yote ya leba ,miezi yote ya mahangaiko ya mimba. Kutapika, kususia vyakula, kuumwa, kuzimia , Leo AJE AZAE ALAFU AMTUPE MWANAWE KISA BABA WAMIMBA KAMKIMBIA????? .
KWANZA MLAANIWE WANAUME WOTEE MNAIWAPA MIMBA WANAWAKE NAKUZIKATAA ,MLANIWE ZAIDI YA WALOLAANIWA.
nakuja kwako.
Umemwona Mwanamke ana mtoto. Ila yupo singoo, Moyo wako umempenda maana mapenzi hayana macho. umemtongoza kakubali. alafu leo hiii kisa umeshakula mzigo Uanze ohoooo mtoto ohooo mpeleke kwao ohooooo sijui nn .. Ulipomfata hukujua anamtoto??? Nakwann umpende Mama mtu ,alafu uchukie mwanawe??? HUO NI UPENDO AU ILLUSION???? ... wewe huwapendi hata watoto wa majiran?? Kama unawapenda kwann umchukie mtoto wa Mwanamke wako anayekuvulia chupi?????
Unajua huyo mtoto baadae atakua nani?? Wakat ambao watoto wako wameishia kua walevi????
inaweza kua Disgraceful Pregnancy BUT KAMWE HATOKUA DISGRACEFUL CHILD!!
MTOTO WA MWENZIO NISHARIT UMUONE KAMA MTOTO WAKO. NA MWENZIO NIHUYO MWANAMKE ULOMTONGOZA KWA KILA AINA YA MBWEMBWE.
Wanawake wanaojielewa na huru HAWATOKAA WARUHUSU UHUNI WA WANAUME KM WEWE.
watakaoruhusu niwale ambao hawana elimu. Hawana maisha yaan ni Tegemezi.
HIVYO , WANAWAKE MJITAHIDI SANA KUA NA UCHUMI BINAFSI , UKIWA NAUVHUMI BINAFSI ,HAWA WANAUME WATAWAABUDU NYINYI NA WATOTO WENU.
alafu nikupe somo..."UKITAKA UFAIDI RAHA ZA HAWA WANAWAKE. HAKIKISHA UANMPENDA SAAAAAAAAAANA MTOTO WAKE , HAPO ATAKUPA RAHA. AMANI NAKILA AINA YA JEMA UNALOTAKA"...unajua kwann??? KWASABABU UNAMFANYA ASIMUWAZE BABA MTU KWANN HATOI PESA ZAMATUMIZI.
Kinyume nahapo. Atawasiliana na Baba mtoto wake Pesa ya mtoto...alafu ukikuta mawasiliano unaaanza kununa..SASA HII NI AKILI AU MATOPE???
haijalishi ni mama wa mtoto au Hana mtoto , hivo havitaondoa ukweli kua ni Mwanamke na daima lazima umuishi kama mwanamke , umfanye kua Malikia kwako kisha utamfurahia.