Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Kitu gani mkuuHili la kupasha kipolo siyo tatizo sana maana liko chini ya asilimia 98. Sasa kuna hili la kukuibia pesa ili awekeze badae ya mwanae hili liko zaidi ya 99℅. Ila nalo siyo noma sana. Sasa kuna hili ambalo hata mimi sitaki kulisema maana hili ni tatizo asilimia 100. Hili ndugu hata mimi sitaki kulisema
Ushaoa makuu mrejesho?Hatimaye mrejesho chanya wa kwanza. Hili swala ni gumu sana kila nikitaka kumwambia Singo maza wangu nakuoa nakuta mada mpya humu wakisemwa..... NAO NI WANAWAKE KAMA WANAWAKE WENGINE NA WANASTAHILI UPENDO PIA.
Hivi mfano,Mimi ni Mwanaume.
Kwanza lazima Ujue Mtoto aliyezaliwa hana kosa , na hakulazimishwa kuja dunian, Bali aliwekwa tumbon ,ila kwa namna moja nanyingine Walomleta wakaachana,...
IVI UNAJUA UCHUNGU WA MWANA AUJUAYE NI MAMA YAKE nasio Mwanaume??? .
Ndio keshazaa, ulitaka amtupe?? Yaan maumivu yote ya leba ,miezi yote ya mahangaiko ya mimba. Kutapika, kususia vyakula, kuumwa, kuzimia , Leo AJE AZAE ALAFU AMTUPE MWANAWE KISA BABA WAMIMBA KAMKIMBIA????? .
KWANZA MLAANIWE WANAUME WOTEE MNAIWAPA MIMBA WANAWAKE NAKUZIKATAA ,MLANIWE ZAIDI YA WALOLAANIWA.
nakuja kwako.
Umemwona Mwanamke ana mtoto. Ila yupo singoo, Moyo wako umempenda maana mapenzi hayana macho. umemtongoza kakubali. alafu leo hiii kisa umeshakula mzigo Uanze ohoooo mtoto ohooo mpeleke kwao ohooooo sijui nn .. Ulipomfata hukujua anamtoto??? Nakwann umpende Mama mtu ,alafu uchukie mwanawe??? HUO NI UPENDO AU ILLUSION???? ... wewe huwapendi hata watoto wa majiran?? Kama unawapenda kwann umchukie mtoto wa Mwanamke wako anayekuvulia chupi?????
Unajua huyo mtoto baadae atakua nani?? Wakat ambao watoto wako wameishia kua walevi????
inaweza kua Disgraceful Pregnancy BUT KAMWE HATOKUA DISGRACEFUL CHILD!!
MTOTO WA MWENZIO NISHARIT UMUONE KAMA MTOTO WAKO. NA MWENZIO NIHUYO MWANAMKE ULOMTONGOZA KWA KILA AINA YA MBWEMBWE.
Wanawake wanaojielewa na huru HAWATOKAA WARUHUSU UHUNI WA WANAUME KM WEWE.
watakaoruhusu niwale ambao hawana elimu. Hawana maisha yaan ni Tegemezi.
HIVYO , WANAWAKE MJITAHIDI SANA KUA NA UCHUMI BINAFSI , UKIWA NAUVHUMI BINAFSI ,HAWA WANAUME WATAWAABUDU NYINYI NA WATOTO WENU.
alafu nikupe somo..."UKITAKA UFAIDI RAHA ZA HAWA WANAWAKE. HAKIKISHA UANMPENDA SAAAAAAAAAANA MTOTO WAKE , HAPO ATAKUPA RAHA. AMANI NAKILA AINA YA JEMA UNALOTAKA"...unajua kwann??? KWASABABU UNAMFANYA ASIMUWAZE BABA MTU KWANN HATOI PESA ZAMATUMIZI.
Kinyume nahapo. Atawasiliana na Baba mtoto wake Pesa ya mtoto...alafu ukikuta mawasiliano unaaanza kununa..SASA HII NI AKILI AU MATOPE???
haijalishi ni mama wa mtoto au Hana mtoto , hivo havitaondoa ukweli kua ni Mwanamke na daima lazima umuishi kama mwanamke , umfanye kua Malikia kwako kisha utamfurahia.
Ishu ni kupelekq mtoto wa kwa Baba , mtoto ni mali ya MwanaumeHamna kitu kama iko...ona akili za wanaume zilivyo zakipuuzi...AKILIPIWA ADA NA BABA YAKE MZAZI ..utasema nyie bado mnawasiliana.
Mama mtu akikuomba Ada..unasema sina.... Akikuomba Ruhusa yakwenda ofisin kwa baba mtu kuchukua pesa ya ADA...unavuta mdomo kama Falaaa.... Akimpigia simu ndo UTAMWAMBIA WEKA LOUD SPEAKER ,,, Ikiingia meseji akiuuliza hali ya mtoto au meseji ya hela..ndi unaanza kulalama, ohoooooo kwann akutumie pesaaa ,yann..ohoioo kwann umwambie mtoto anaumwa wakat nipo??? ...... Hii sio akili ni Matope !!
Kwaiyo unataka kotekote huduma ya mtoto aikose!!???
Ni Unyau wa kiwango cha juu sana , kumfanya mtoto ajute kwann ANAISHI!!!
Mliishiaje mkuu maliziaSingle mother anayejitambua hawezi kukubali kuolewa na kijana ambaye hakuwahi kuoa. Naandika hili nikiwa na sababu tosha;
Kabla sijaoa nilikuwa na mpenzi wangu ambaye mimi sikujua kama alishazalishwa. Alinipenda sana na hata nyumbani walimpenda sana. Lakini kila nilipogusia suala la kumuoa - alikataa kabisa - sikujua sababu.
SIku ya siku tukiwa beach tunapunga upepo aliamua kunipa ukweli ..
Alisema sio kwamba hataki kuolewa na mimi bali anahofia ndugu sangu (hasa wadada) wakijua kuwa ana mtoto hawatampenda.
Pole sana ulifunga nae ndoa?ni wazo zuri ila fikiria hii ni mida ya saa nnne asubuhi mnakunywa chai baba wa mtoto wa anapiga simu anasema ''nataka nimuone mwanagu kuna vitu nimemletea siwezi kuja hapo kwako maana umeolewa;; na mkeo anasema baba fulani kasema nimplekee mwanae ampe zawadi zake...trust me kitu ambaco kitakukosesha amani kwa miaka mingi mimi pia nilikua katka mahusiano na single mother ila nakumpenda kote huko ila hapo ilibidi nijivue na kuacha mapenzi yote maana nilishndwa kuvumilia,,,afu ukute jamaa msumbufu mara apige saa tano usiku na huwezi mzuia kuongea na msela atasema kwa ajili ya mtoto
Duu pole yake.Mimi kuna mtoto wa mama Mkubwa wangu alidanganywa na mwanaume kuwa anataka Kumuoaa yule dada akasema bhasi tufunge ndoa kabla ya yote mwanaume akasema Nahitaji kukujua kwanza kiti ambacho kimekuwa common sana kwenye Jamii ya sasa hakuna mtu anataka aoe alafu baadae story za mtoto iwe vita... Duuh cster akabeba mimba huku mipango ya Sendoff na ndoa ishaanza na michango pia aisee Kuja kujuaa yule mzee ana Familia yake ya Watoto watatu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Can you imagine jambo kama hili limkute dada yako???? Yani yule dada isingekuwa kumuwahi tusingekuwa nae duniani aliona bora afe...lakini wazazi wakamtuliza mwisho wa siku akabaki kuwa Single mama wakati alikuwa dada mwenye maadili mazuri sana na msomi. So mwanaume asipoleta zengwe na kumkataa mwanamke hakuna SINGLE MAMA duniani tatizo wanaume minyege ikituzidi huwaga tunasahau kabisa kuwa kuna mimba kifatacho sasa ndo Single mama na watoto wa mtaani.
Mkuu kama unalink naomba kaka hata ya youtube.Kwenye semina ya Ndoa Mwakasege na Mke wake waliongea kimafumbo kuhusu kijana wao
Ukiishi na mtoto pia ni sawa na kuishi na familia ya mtu.Mimi kitu ninachowaza kuwa ni kigumu ni ile kuingia kuishi na mwanamke mwenye mtoto wa mwanaume mwingine..hilo ndo tatizo tu
Mimi nasema hata nikiona kaburi siwezi kuoa, atanitia nuksi za kufa kufaBalaa wanaliona walioa..Oa mjane mumuwe amefariki
Katika ulimwengu wa roho, ndoa Ni lile tendo la kukutanisha vikojoleo. Ndoa siyo harusiHapo ni baada ya ndoa
Tendo ni lipi na ndoa ni ipi ?Katika ulimwengu wa roho, ndoa Ni like tendo la kukutanisha vikojoleo. Ndoa siyo harusi
Kama wasema cha nini wenzio husema watakipata liniTafsiri ya single moms katika uzi huu ni wale wanawake ambao wanaume waliowazalisha wapo hai (hawajafa, siyo vichaa, na hawajafungwa gerezani) lakini kwa sababu yeyote butu, wameachana na waume zao.
Yesu, mjumbe wa habari njema ametukataza sisi wanaume kuoa single moms.
Mathayo 5:32
"Lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini."
Tafsiri ya single moms katika uzi huu ni wale wanawake ambao wanaume waliowazalisha wapo hai (hawajafa, siyo vichaa, na hawajafungwa gerezani) lakini kwa sababu yeyote butu, wameachana na waume zao.
Yesu, mjumbe wa habari njema ametukataza sisi wanaume kuoa single moms.
Mathayo 5:32
"Lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini."