dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
yaani vurugu tupuNyuzi nyingi humu zinakosa better flow kwasababu ya kuunganishwa unganishwa...
NAKAZIAkataa ndoa
Waje wote sijui nawaonaje, nachafukwa nikisikia sijui watoto nyonyoo badala kuongea kuhusu mapenzi wanaongea ujinga siwataki wana stress nyingi na wananjaa sanaUpo tayari kushambuliwa lkn...?
Naboreka na hao tumbili wenye watoto, utulivu sifuri na hao tumbili hawaachi kichwaWamejeruhiwa kihisia wengi wao.
Nimesikia tumbili juu ya bati wameamka wamebeba vitoto ni kero sanaAsibihi yote hii unawaza ma singo maza na karaha zao dah bongo balaa
Hivi hii Kampeni ya Kataa ndoa ingefanywa na Wazee wenu, vipi ninyi mngezaliwa kwenye hizo familia?
Kuna mambo sio ya kuya-entertain ikiwemo ndoa.
Kuwa na taasisi imara ya familia inahitaji kila kijana kuoa.
Muda wa kuoa ukifika niletee kadi nitakuchangia
Sisi Wazee wenu tusingependa kuwaona vijana wetu mnapotea.
Please, rudini kwenye misingi ya imani zenu za kidini.
Dini zote zinakataa Uzinzi na kujichukulia sheria mkononi( Kujichua) 🤪
Daah, kwakweli single mama ni hatari sana kwa afya yako yani wana malengo na mtu mwingine tena kuoana kabsa alafu anakuja mzaz aliyezaa nayo bado wanatombana tena aisee single maza ni mkusanyiko wa magonjwa yoteeNaurafiki na single mothers ambaye ana kaglosari nikipita kupata Moja mbili Cha kushangaza ana mahusiano mapya na malengo na mtu wake anakuja hapo na Wana malengo ya kuoana ila siku Moja na mkuta baba wa mtoto hapo na wanakumbushana kupasha kiporo.
Aisee na grosari nimeama kuona aibu ya yule jamaa maana mda mwengine utupia bia kama jirani
Tumbili wamejaa sana tunzeni watoto wenu hadi waolewe, mmeacha wanazagaa hawana bikra nani awaoe labda chui wenye njaa ndio mlo wao. Kataa ndoa ni kampeni tukufuHivi hii Kampeni ya Kataa ndoa ingefanywa na Wazee wenu, vipi ninyi mngezaliwa kwenye hizo familia?
Kuna mambo sio ya kuya-entertain ikiwemo ndoa.
Kuwa na taasisi imara ya familia inahitaji kila kijana kuoa.
Muda wa kuoa ukifika niletee kadi nitakuchangia
Sisi Wazee wenu tusingependa kuwaona vijana wetu mnapotea.
Please, rudini kwenye misingi ya imani zenu za kidini.
Dini zote zinakataa Uzinzi na kujichukulia sheria mkononi( Kujichua) 🤪