Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Single with no kids but also schooling au fellowship ya wanaotaka waume?
Fanyeni machaguo sahihi, ukioa kwa kuangalia Degree nyingi za Mkeo ama Kazi nzuri ya Mkeo basi jua Mtakuwa Wanaume Wawili ndani ya Nyumba moja.

Oeni Wanawake wenye sifa ya kuwa Mama wa Watoto wako
 
Kwani huwezi kuoa huyo Mwanamke mwenye Elimu kubwa lakini bado ukamfungulia miradi aisimamie akiwa hapo hapo nyumbani?

Wake zetu hawakuwa na Elimu lakini ndiyo wamewasimamia nyie mmesoma hadi kuwa Madaktari.

kumbukeni, hamwoi kazi wala Elimu yake, unaoa Mke ambaye atatakiwa kuwa msaidizi wako katika Kulea Watoto wenu.

Mwanamke bila kumtawala atakutawala wewe, Simameni kama Wanaume.

Kauli yako moja inatosha kumfanya mkeo akutii hadi unaingia kaburini.
Mbona unaongelea elimu....angalia dunia unayoishi now...Kuna power struggles .. zipo familia ambazo both parents wanaelimu na wanahela zao ndo nyingi zinaendelea afu inakuwa sio ishu kutunza familia. We unataka tuishi in an age ambao mwanamke alikuwa hasomi hafanyi kazi za nje etc Hilo in modern age lina faida na hasara zake...
 
NAKAZIA

NDOA NI UPUMBAVU

NDOA NI UTAPELI


WAJINGA NDIYO WANAOPIGWA
Mwamba capital letters are so scary, also connotes emphasis and louder rejections, umetisha sana.

The problem is self centered attitude for women, but that's is intrinsic though, to modify them through spiritual grooming takes time and it's for strong families only
 
Mwamba capital letters are so scary, also connotes emphasis and louder rejections, umetisha sana.

The problem is self centered attitude for women, but that's is intrinsic though, to modify them through spiritual grooming takes time and it's for strong families only
NI MWENDO WA NYUNDO, WANAENDEKEZA UDANGAJI NA FEMINISM
WAKAOLEWE NA BABA ZAO KAMA NI RAHISI
 
Mnapokataa Kuoa, hao watoto mtazaa na nani?

Vipi Malezi yao, mtawaachia Walimu wao?

Oeni Vijana, ila hakikisha mnawashirikisha Wazee wenu. Sio umependezwa na Utundu wa Mwanamke kitandani basi unaoa, unashindwa kujua unatakiwa Kuwapa Mama bora watoto wako.
🤣Unajua we huelewi...shida sio kuzalisha au kulea shida ni Ile ndoa..ule mkataba wa kisheria ndo watu wanaukwepa. We imagine unaoa afu mke anakucheat na mlinzi na bado anadai mamillion ya divorce si ukichaa huo ..Sasa yote ya Nini ..hatujakataa kuzaa sijui kulea ishu ni mkataba huo batili hatuutaki
 
Hakikisha mnachunguzana kabla hujaamua kumvisha Pete ya Uchumba.

Sio vibaya kuwashirikisha Wazee wenu, mbona Wazee ukiwapelekea Mwanamke kama ni mbovu wanakwambia mapema tu kuwa huyo mke hafai.

Msioe kwa kunogeshwa na Viuno na Ujuzi wa Mwanamke kulamba Koni

Oeni kwa kuangalia huyo Mke anafaa Kuwa Mama wa Watoto wako?
🤣Asa kwa Nini ubeti...yaani ndoa ni kubet kabisa ...we skia Kama umeoa fresh huko miaka 70 cjui ambapo wanawake hawashindani kuenda hoteli tofauti...Ila saa hivi utaumia sana.
 
Hamna there were useful at its time ..tatizo binadamu tunaforce alichofanya babu na sisi tufanye wakati mambo yanabadilika
We urge those that are pro marriages to come up with a very solid, concrete and convincing issues that would drive us to buy their traditional idea. Otherwise we stand for kataa kuoa na tukatae ndoa.
 
Mungu ni mwema,

maisha ya mapenzi ni vurugu mechi haswa. Single mother binafsi nimewashindwa. Mambo ni mengi hawa watu tusuze rungu kwa msimu na bata za kukosa option, ila kuwa na single mother kolikoli daily nimeshindwa.

Siwezi kuendana na hawa single Mamaz sijui nawaonaje nikiwa nao, kwenye story nikisikia tu nina watoto mmoja sijui form 4, mwingine la 7, sijui mwingi form2, aisee nabadirika hapo hapo, kwa mbali labda mwenye mtoto 1 na awe na mvuto wa kifua, otherwise sijui naonaje nachafukwa.

Kampeni ya kataa ndoa naiunga mkono Kwa aslimia zote.

Single mother binafsi hapana

Kichwamoto na moto wake




Muasherati ambaye ajaoa anawateta single Kama.
 
Mbona unaongelea elimu....angalia dunia unayoishi now...Kuna power struggles .. zipo familia ambazo both parents wanaelimu na wanahela zao ndo nyingi zinaendelea afu inakuwa sio ishu kutunza familia. We unataka tuishi in an age ambao mwanamke alikuwa hasomi hafanyi kazi za nje etc Hilo in modern age lina faida na hasara zake...
Kwani ninyi kinachowafanya Mkatae Ndoa ni Kipi Mkuu wangu?

Maana Wanawake wa Enzi zetu ndiyo hap hao wenu, utofauti ni kuwa wale wetu hawakuwa wakitumia Smartphones, hawakuwa na Elimu kubwa.

Nyinyi wenu wanavyote hivyo, sasa shida ni ipi tujue namna ya kuwasaidia
 
🤣Unajua we huelewi...shida sio kuzalisha au kulea shida ni Ile ndoa..ule mkataba wa kisheria ndo watu wanaukwepa. We imagine unaoa afu mke anakucheat na mlinzi na bado anadai mamillion ya divorce si ukichaa huo ..Sasa yote ya Nini ..hatujakataa kuzaa sijui kulea ishu ni mkataba huo batili hatuutaki
Kwani ninyi ndiyo wakwaza kusaini hivyo vyeti vya ndoa?

Tulianza kusaini sisi miaka ile ya giza lakini hakukuwa na hofu eti mtagawana mali sijui baada ya kuachana.

Ili hayo yasitokee, hakikisha umefanya Chaguo sahihi.

Wapo wanawake hawajui kucheat hata kama watashawishika kwa milioni kadhaa.

Furaha yao ni Kukupenda wewe tu

Shughulika na hao Mkuu na ndoa yako utaiona inavyonawiri na kustawi kila siku
 
🤣Asa kwa Nini ubeti...yaani ndoa ni kubet kabisa ...we skia Kama umeoa fresh huko miaka 70 cjui ambapo wanawake hawashindani kuenda hoteli tofauti...Ila saa hivi utaumia sana.
Hakikisha unasimama kama Mwanaume ndani ya ndoa yako, Mwanamke siku zote anahitaji kupewa Kauli na maelekezo.

Mpende naye atakupenda na kukuheshimu
 
Kwani ninyi kinachowafanya Mkate Ndoa ni Kipi Mkuu wangu?

Maana Wanawake wa Enzi zetu ndiyo hap hao wenu, utofauti ni kuwa wale wetu hawakuwa wakitumia Smartphones, hawakuwa na Elimu kubwa.

Nyinyi wenu wanavyote hivyo, sasa shida ni ipi tujue namna ya kuwasaidia
Hivi unajua 2010 na 2023 ni miaka 13 tu lakini hapo Kati Kuna mabadiliko sio ya dunia hii
 
Kwani ninyi ndiyo wakwaza kusaini hivyo vyeti vya ndoa?

Tulianza kusaini sisi miaka ile ya giza lakini hakukuwa na hofu eti mtagawana mali sijui baada ya kuachana.

Ili hayo yasitokee, hakikisha umefanya Chaguo sahihi.

Wapo wanawake hawajui kucheat hata kama watashawishika kwa milioni kadhaa.

Furaha yao ni Kukupenda wewe tu

Shughulika na hao Mkuu na ndoa yako utaiona inavyonawiri na kustawi kila siku
Asa huko kubet walibet watu wenye dini watu wenye hela kina Steve Harvey ila bado wamecheatiwa asa kwani lazima jamani, we inakuuma nini
 
Back
Top Bottom